Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,707
Inaonekana wanaume tulio wengi tunapenda ngono kuliko wanawake au tunalitazama tendo hilo kwa uthamani mkubwa.
"
Hii inaweza kuwa inasababishwa na maumbile yetu au malezi.
"
Nimesema hayo kwa kuwa mtu anaweza kuwa na mgogoro na mkewe au mpenzi wake,kama mgogoro huo haujahusisha tendo la ndoa,kwa maana kuwa tendo la ndoa linafanyika kama kawaida basi mwanaume anaweza asiuchukulie huo mgogoro "siriaz"
"
Kama mgogoro huo utahusisha tendo la ndoa lazima patachimbika.
"
Unaweza kuwa unamtaka binti fulani na ukawa umetumia hela nyingi sana kwake,lakini kama hajakupa utukufu maelewano hayatakuwepo kabisa.
Lakini kama umeshapewa haitajalisha umetumia kiasi gani.
"
Hii unaweza kuiona hata kwenye mijadala ya migogoro ya kimahusiano inayoletwa hapa.
"
Hii inamjulisha mwanamke kuwa mwanaume anathamini sana utupu wa mwanamke kuliko kitu chochote.
"
Ndio maana anautumia kama fimbo ya kumuadhibia pindi utokeapo mgogoro baina yao.
Au anautumia kama chombo cha kudai mahitaji yake.
"
Anajua hapa hana ujanja kabisa.Ndo maana mtu anaweza kusamehe kirahisi pesa nyingi lakini sio mkewe kumegwa na mtu mwingine.
"
Ndo maana ukimfanyia mwanamke jambo jema na akakulipa hela,hatoridhika kama umefurahia shukrani ya pesa,mpaka akupe utukufu wake.
Jambo hili tumelisababisha sisi wenyewe,inaweza kuwa sio wote lakini wengi wetu tuko hivyo.
"
Ili kuondoa jambo hili,tunatakiwa tubadili mtazamo wetu kwenye hii makitu ili wasitunyanyasie.
Akikunyima unapotezea na unaendelea na maisha kama kawa,sio msosi huo.
"
Kwan nini bana . . . . . ??!!
"
Hii inaweza kuwa inasababishwa na maumbile yetu au malezi.
"
Nimesema hayo kwa kuwa mtu anaweza kuwa na mgogoro na mkewe au mpenzi wake,kama mgogoro huo haujahusisha tendo la ndoa,kwa maana kuwa tendo la ndoa linafanyika kama kawaida basi mwanaume anaweza asiuchukulie huo mgogoro "siriaz"
"
Kama mgogoro huo utahusisha tendo la ndoa lazima patachimbika.
"
Unaweza kuwa unamtaka binti fulani na ukawa umetumia hela nyingi sana kwake,lakini kama hajakupa utukufu maelewano hayatakuwepo kabisa.
Lakini kama umeshapewa haitajalisha umetumia kiasi gani.
"
Hii unaweza kuiona hata kwenye mijadala ya migogoro ya kimahusiano inayoletwa hapa.
"
Hii inamjulisha mwanamke kuwa mwanaume anathamini sana utupu wa mwanamke kuliko kitu chochote.
"
Ndio maana anautumia kama fimbo ya kumuadhibia pindi utokeapo mgogoro baina yao.
Au anautumia kama chombo cha kudai mahitaji yake.
"
Anajua hapa hana ujanja kabisa.Ndo maana mtu anaweza kusamehe kirahisi pesa nyingi lakini sio mkewe kumegwa na mtu mwingine.
"
Ndo maana ukimfanyia mwanamke jambo jema na akakulipa hela,hatoridhika kama umefurahia shukrani ya pesa,mpaka akupe utukufu wake.
Jambo hili tumelisababisha sisi wenyewe,inaweza kuwa sio wote lakini wengi wetu tuko hivyo.
"
Ili kuondoa jambo hili,tunatakiwa tubadili mtazamo wetu kwenye hii makitu ili wasitunyanyasie.
Akikunyima unapotezea na unaendelea na maisha kama kawa,sio msosi huo.
"
Kwan nini bana . . . . . ??!!