incredible thinker
Member
- Apr 17, 2013
- 38
- 2
salaam ndugu zangu wana jF...
kuna mdogo wangu kapata hivi katika matokeo ya form 4 mwaka 2012.....
bios C
kisw C
engl C
chem D
geog D
math D
civcs D
phys D
histry D
DIVISION 3 YA POINTI 25
anataka kusoma CBG kwenye shule ya GVNT...je akichaguliwa Hkl anaweza kubadilisha???kwenda CBG..
MSAADA WENU WANA JAMII FORUMS KWA HILI PLEASE.......
kuna mdogo wangu kapata hivi katika matokeo ya form 4 mwaka 2012.....
bios C
kisw C
engl C
chem D
geog D
math D
civcs D
phys D
histry D
DIVISION 3 YA POINTI 25
anataka kusoma CBG kwenye shule ya GVNT...je akichaguliwa Hkl anaweza kubadilisha???kwenda CBG..
MSAADA WENU WANA JAMII FORUMS KWA HILI PLEASE.......