Inawezekana Askofu Gwajima ndiye mtanzania anayeishi maisha ya furaha kuliko wote

Sasa naanza kuhisi hii S gang haijawahi kuwepo na haipo, ni kuchafuana tu mitandaoni! Kama hata huyu anafurahia hivi kuondoka kwa Jobo
 
Gwajima aache kutumia jukwaa la dini na imani ya kikristo ku justify umafia wake wa kisiasa, sidhani kama hao waumini wake wana independent thinking, hawana tofauti na mashabiki wa mpira.........
 
Sasa naanza kuhisi hii S gang haijawahi kuwepo na haipo, ni kuchafuana tu mitandaoni! Kama hata huyu anafurahia hivi kuondoka kwa Jobo
Job hakuwa sukumagang,ni njaa zake tu.
Tangu lini sukumagang ikaunga mkono bandarini ya Bagamoyo?
Sukumagang husimamia inachoamini hata iko tayari kupoteza vyeo.
 
Back
Top Bottom