Hahaha Ngosha wewe ni shida! Ila pia ni chawa kwa kifupi huaminiki! Ila uzuri unajua unachofanya!Huyu jamaa mimi nimeshindwa kumdefine, haeleweki hatabiriki kiufupi huyu huwezi kudeal nae anajua kicheza namba sita kila sehemu yupo
Kazi iendelee
View attachment 2073248
Duh watu wanajua kusema aisee.Ninesikia mrithi wa Ndungai ni Ridhiwani
Ww ndio huwezi ku deal nae. Ila akijaa kwenye 18 za watu anapfigika vizuri tu.Huyu jamaa mimi nimeshindwa kumdefine, haeleweki hatabiriki kiufupi huyu huwezi kudeal nae anajua kicheza namba sita kila sehemu yupo
Kazi iendelee
View attachment 2073248
haha sukuma gang watamtukana jk kila aina ya tusiNinesikia mrithi wa Ndungai ni Ridhiwani
Huyu ni dalali mzuri snHuyu jamaa mimi nimeshindwa kumdefine, haeleweki hatabiriki kiufupi huyu huwezi kudeal nae anajua kicheza namba sita kila sehemu yupo
Kazi iendelee
View attachment 2073248
Gwajima muhuni sanaHuyu jamaa mimi nimeshindwa kumdefine, haeleweki hatabiriki kiufupi huyu huwezi kudeal nae anajua kicheza namba sita kila sehemu yupo
Kazi iendelee
View attachment 2073248
Job hakuwa sukumagang,ni njaa zake tu.Sasa naanza kuhisi hii S gang haijawahi kuwepo na haipo, ni kuchafuana tu mitandaoni! Kama hata huyu anafurahia hivi kuondoka kwa Jobo