Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,417
- 7,731
Habari wakuu,
Nilikutana kimwili na binti ambae nipo na mahusiano nae, sasa wakati tunaendelea kufanya akawa ananisihi sana nisimwagia ndani sababu alikua kwenye siku za hatari, nilipokaribia kumwaga nikatoa nkamwaga nje, baada ya sekunde kadhaa nikarudisha ndani nikaendelea na shughuli ila sikumwaga tena,
Sasa baada ya wiki 2 ananiambia hajiskii vizuri, jana nikampa kipimo kile cha UPT na majibu ana mimba,
Naomba kujua inawezekana mwanamke akapata mimba hata kama mbegu zikiwa kitone?
Msaada kwa hili tafadhali kwenu wataalam wa jf.
Nilikutana kimwili na binti ambae nipo na mahusiano nae, sasa wakati tunaendelea kufanya akawa ananisihi sana nisimwagia ndani sababu alikua kwenye siku za hatari, nilipokaribia kumwaga nikatoa nkamwaga nje, baada ya sekunde kadhaa nikarudisha ndani nikaendelea na shughuli ila sikumwaga tena,
Sasa baada ya wiki 2 ananiambia hajiskii vizuri, jana nikampa kipimo kile cha UPT na majibu ana mimba,
Naomba kujua inawezekana mwanamke akapata mimba hata kama mbegu zikiwa kitone?
Msaada kwa hili tafadhali kwenu wataalam wa jf.