Angry Bird
JF-Expert Member
- May 3, 2016
- 514
- 487
Madoctor, wataalamu na wote mlio na uelewe wa ugonjwa huu naombeni mnipe majibu. Google imeniacha na maswali.
Huyu bwana ameugua kisukari kwa muda mrefu sana, figo zishafail anafanyiwa dialysis mara mbili kwa wiki. Inawezekana akampa mimba mke wake?
Huyu bwana ameugua kisukari kwa muda mrefu sana, figo zishafail anafanyiwa dialysis mara mbili kwa wiki. Inawezekana akampa mimba mke wake?