johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,867
- 141,797
Bunduki na mabomu ya polisi yako kwa mujibu wa sheria mkuu!Nyie si mnategemea bunduki na mabomu ya polisi?
Bunduki na mabomu ya polisi yako kwa mujibu wa sheria mkuu!Nyie si mnategemea bunduki na mabomu ya polisi?
Kutumika kujibu hoja? Wacheni umalaya.Bunduki na mabomu ya polisi yako kwa mujibu wa sheria mkuu!
Mdau Salary Slip una moyo sana.
Jinsi viongozi wenu wanavyo kosa misimamo na maono.
Leo unashabikia mahamuzi haya kesho wanafanya kinyume inabidi upondee yale ya mwanzo utetee ya leo.
Bunduki na mabomu ya polisi yako kwa mujibu wa sheria mkuu!
Lazima watumie mbinu zao chafu ili washinde vinginevyo Bashite itampasa aombe radhi km mwenzake wa Mbeya.Kumchanganya adui asijue kesho utaamua nini nayo ni mbinu, CCM wangejua Chadema watashiriki na kumuweka Mwalimu wasingefanya kosa la kumrudisha Mtulia.
Mahamuzi ndo ugonjwa ganiMdau Salary Slip una moyo sana.
Jinsi viongozi wenu wanavyo kosa misimamo na maono.
Leo unashabikia mahamuzi haya kesho wanafanya kinyume inabidi upondee yale ya mwanzo utetee ya leo.
Hivyohivyo kitaeleweka mstumieendeleeni kujifariji kwa kauli za kigeugeu kutoka kwa viongozi wenu.. mara popo mara ndege hamuelekweki
Ha! Ha! Ha!Inawezekana wamegundua reaction ya vitendo ndio italipa zaidi na ndio itatuma ujumbe sahihi kuwa tuna tatizo kuliko kulalamika tu hivyo huenda wamejipanga kutumia fursa hii kujibu mashambulizi kwa vitendo na kuithibitishia dunia kuwa kuna tatizo la msingi.
Wamelaumiwa na kukejeliwa sana kwa upole nadhani sasa wamefika mwisho na kwakuwa watu wana hasira na vinyongo,tutarajie mpambano mkali maana hakutakuwa tena na kuwaambia warudi nyuma.
Vile vile nadhani wamegundua hii itakuwa fursa ya kuonyesha umuhimu wa kufanya marekebisho yanayotakiwa.
Safari hii wakipigwa shavu la kushota sidhani kama watageuza na la kulia.
Tunaendelea na utabiri kadri mitambo inavyosoma.
Chadema mapambano yao wanaendeshea midomoni hawana misuli kama unavyotaka kutuaminisha, ile Cuf ya ngangari labda walijaribu kidogo!
Usitulishe maneno yako, sisi wananchi hatujasema maneno hayo jisemee nafsi yakoHawana msimamo hao, wananchi wameshaanza kuwaona kama wanaharakati wasio na dira
Leo unasema hili kesho unafanya lile, hopeless kabisa
Unaulizwa swali hatuki washiriki unajibaraguza baraguzaWanazingua hao na "Staki nataka" zao
Jaribu kumuuliza mama yako nasikia kama wiki Jana walikuwa pamojaMwanasheria wa Barrick kafia wapi?
Umeshapanic!Kutumika kujibu hoja? Wacheni umalaya.
JPM anamkubali sana Lowassa mpaka kumuomba arudi ccm!Sasa wale wanaccm waliokuwa wanamtukana sijui wanajisikiaje?Mdau Salary Slip una moyo sana.
Jinsi viongozi wenu wanavyo kosa misimamo na maono.
Leo unashabikia maamuzi haya kesho wanafanya kinyume inabidi upondee yale ya mwanzo utetee ya leo.
Hiyo ndo njia sahihi ila viongozi wako siyo.Wao kile kinaitwa dawa ya moto ni moto wao hawajuiInawezekana wamegundua reaction ya vitendo ndio italipa zaidi na ndio itatuma ujumbe sahihi kuwa tuna tatizo kuliko kulalamika tu hivyo huenda wamejipanga kutumia fursa hii kujibu mashambulizi kwa vitendo na kuithibitishia dunia kuwa kuna tatizo la msingi.
Wamelaumiwa na kukejeliwa sana kwa upole nadhani sasa wamefika mwisho na kwakuwa watu wana hasira na vinyongo,tutarajie mpambano mkali maana hakutakuwa tena na kuwaambia warudi nyuma.
Vile vile nadhani wamegundua hii itakuwa fursa ya kuonyesha umuhimu wa kufanya marekebisho yanayotakiwa.
Safari hii wakipigwa shavu la kushota sidhani kama watageuza na la kulia.
Tunaendelea na utabiri kadri mitambo inavyosoma.
Kama ulivyoelewa ndio maana yake mkuu.Mahamuzi maana yake nini? Au ndo Lugha za huko Lumumba?
Kama mnakuja kufanya fujo ili muioneshe dunia kuwa kuna tatizo mtatulizwa tu,na makamanda wenu walivyo waoga hao,msilie tu mnaonewaSafari hii wakipigwa shavu la kushota sidhani kama watageuza na la kulia.
Nani mwenye msimamo hapa Tz ili wananchi tumwamini?Hawana msimamo hao, wananchi wameshaanza kuwaona kama wanaharakati wasio na dira
Leo unasema hili kesho unafanya lile, hopeless kabisa
Hawana msimamo hao, wananchi wameshaanza kuwaona kama wanaharakati wasio na dira
Leo unasema hili kesho unafanya lile, hopeless kabisa