Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,754
Ni maamuzi yenye ukakasi mkubwa....je tuna mangapi mazito ndani ya nchi hii yanayohitaji kutatuliwa? Ni kweli kabisa tunahitaji kuunda kikosi kizima cha tume kwa ajili ya faru mmoja tu?
Mbona habari mlizonazo mpaka sasa zinatosha kabisa kuwachukulia hatua waliohusika
Imeundwa timu ya kwanza ikaja na taarifa yake... .waziri hajaridhika nayo
Kuna kikosi kazi cha uchunguzi kinaendelea na na kazi
Kuna timu nyingine inafuatilia vinasaba
Na sasa Kuna tume nyingine inaundwa kwa ajili ya jambo hilohilo
Tunajua wanyama wetu hawa hatari wanazokabiliana nazo lakini naona kama ni too much sasa
Mbona habari mlizonazo mpaka sasa zinatosha kabisa kuwachukulia hatua waliohusika
Imeundwa timu ya kwanza ikaja na taarifa yake... .waziri hajaridhika nayo
Kuna kikosi kazi cha uchunguzi kinaendelea na na kazi
Kuna timu nyingine inafuatilia vinasaba
Na sasa Kuna tume nyingine inaundwa kwa ajili ya jambo hilohilo
Tunajua wanyama wetu hawa hatari wanazokabiliana nazo lakini naona kama ni too much sasa