kiumbe kipya
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 2,831
- 1,302
yote yana umuhimu wake kama ww huwezi kuona umuhimu wa faru basi na hata mengine yenye umuhimu huwezi kuona kwa hiyo kaa pembeni utupishe
Ni maamuzi yenye ukakasi mkubwa....je tuna mangapi mazito ndani ya nchi hii yanayohitaji kutatuliwa? Ni kweli kabisa tunahitaji kuunda kikosi kizima cha tume kwa ajili ya faru mmoja tu?
Mbona habari mlizonazo mpaka sasa zinatosha kabisa kuwachukulia hatua waliohusika
Imeundwa timu ya kwanza ikaja na taarifa yake... .waziri hajaridhika nayo
Kuna kikosi kazi cha uchunguzi kinaendelea na na kazi
Kuna timu nyingine inafuatilia vinasaba
Na sasa Kuna tume nyingine inaundwa kwa ajili ya jambo hilohilo
Tunajua wanyama wetu hawa hatari wanazokabiliana nazo lakini naona kama ni too much sasa
Tena wewe utaanza kugeuka kuwa faru James,wengine tutafataInasikitisha sana na kutia hasira mpaka sasa haijaundwa tume ya kuchunguza alipo Benn hii nchi hii bora wote tuwe wanyama pori.
Kwa ubongo wako wa zika huwezi kuona umuhimu wa hilo..
Ni mjadala wenye wachangiaji wa kaliba tofauti kwahiyo kupata replies za namna hii sio jambo la kushangaza kabisayote yana umuhimu wake kama ww huwezi kuona umuhimu wa faru basi na hata mengine yenye umuhimu huwezi kuona kwa hiyo kaa pembeni utupishe
Tume zimeanza tenaNi maamuzi yenye ukakasi mkubwa....je tuna mangapi mazito ndani ya nchi hii yanayohitaji kutatuliwa? Ni kweli kabisa tunahitaji kuunda kikosi kizima cha tume kwa ajili ya faru mmoja tu?
Mbona habari mlizonazo mpaka sasa zinatosha kabisa kuwachukulia hatua waliohusika
Imeundwa timu ya kwanza ikaja na taarifa yake... .waziri hajaridhika nayo
Kuna kikosi kazi cha uchunguzi kinaendelea na na kazi
Kuna timu nyingine inafuatilia vinasaba
Na sasa Kuna tume nyingine inaundwa kwa ajili ya jambo hilohilo
Tunajua wanyama wetu hawa hatari wanazokabiliana nazo lakini naona kama ni too much sasa
dah masikini Kijazitatizo sio faru kuna mtu anawindwa hapa atumbuliwe
Hao watu saba walikuwa na pembe Mzee?Bagamoyo watu zaidi ya saba waliuawa na kutupwa mtoni lakini hakuna cha maana kilichofanyika ila faru john ni muhimu sana, au kwa sababu ya jina lake
Ni maamuzi yenye ukakasi mkubwa....je tuna mangapi mazito ndani ya nchi hii yanayohitaji kutatuliwa? Ni kweli kabisa tunahitaji kuunda kikosi kizima cha tume kwa ajili ya faru mmoja tu?
Mbona habari mlizonazo mpaka sasa zinatosha kabisa kuwachukulia hatua waliohusika
Imeundwa timu ya kwanza ikaja na taarifa yake... .waziri hajaridhika nayo
Kuna kikosi kazi cha uchunguzi kinaendelea na na kazi
Kuna timu nyingine inafuatilia vinasaba
Na sasa Kuna tume nyingine inaundwa kwa ajili ya jambo hilohilo
Tunajua wanyama wetu hawa hatari wanazokabiliana nazo lakini naona kama ni too much sasa
We mpuuzi kweli...hata umhimu wa huyu tembo mmoja huujui,pita huku na pumba zako.Ni maamuzi yenye ukakasi mkubwa....je tuna mangapi mazito ndani ya nchi hii yanayohitaji kutatuliwa? Ni kweli kabisa tunahitaji kuunda kikosi kizima cha tume kwa ajili ya faru mmoja tu?
Mbona habari mlizonazo mpaka sasa zinatosha kabisa kuwachukulia hatua waliohusika
Imeundwa timu ya kwanza ikaja na taarifa yake... .waziri hajaridhika nayo
Kuna kikosi kazi cha uchunguzi kinaendelea na na kazi
Kuna timu nyingine inafuatilia vinasaba
Na sasa Kuna tume nyingine inaundwa kwa ajili ya jambo hilohilo
Tunajua wanyama wetu hawa hatari wanazokabiliana nazo lakini naona kama ni too much sasa