Evans-Arsenal
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 868
- 1,385
Ninapoandika huu Uzi inawezekana yeye yupo katika hali ya kawaida kabsa lakini ajue ya kwamba kuna mtu ambaye anampenda na anatamani awe Nuru itakayomulika Maisha yake.
Kweli huyu mtu nmempenda tena sana na ninatamani one day ndo awe Nuru yangu na karibu yangu, lakini inawezekana Distance ya urafiki wetu imezidi kiasi cha kwamba hata Neno lolpte nitakalolitoa kinywani kwangu ataliona kama vile nimesema kama ushauri/ujumbe kwake.
Nimemwambia hivi:
" J nakupenda kwa dhati na ninhitaji kuwa karibu yako zaidi ya urafiki wetu ulivyo sasa...really nakupenda sans J"
J Akajibu hivi:
" Hata mimi nakupenda F na ninahitaji uwe karibu na mimi siku zote kunielimisha na kuniasa kama rafiki yangu..."
Kuna vitu vinauma sana kama kuibiwa Mume au Mke au may be kugongewa Demu/Mchumba wako unayempenda na mtu mwingine lakini kuambiwa wewe ni Rafiki na yule unayempenda ni MAUMIVU makubwa sana na inauma kwa kweli.
Niseme tu pamoja na kwamba kila mtu ana haki ya kukubali na kukataa lakini kwa kweli Jambo la kukataliwa na mtu ambaye ulikuwa naye muda mwingi katika mambo mbalimbali ni jambo linaloumiza sana.
Nashindwa nianzie wapi tena kutokana na Maneno yake ya "FriendShip"
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli huyu mtu nmempenda tena sana na ninatamani one day ndo awe Nuru yangu na karibu yangu, lakini inawezekana Distance ya urafiki wetu imezidi kiasi cha kwamba hata Neno lolpte nitakalolitoa kinywani kwangu ataliona kama vile nimesema kama ushauri/ujumbe kwake.
Nimemwambia hivi:
" J nakupenda kwa dhati na ninhitaji kuwa karibu yako zaidi ya urafiki wetu ulivyo sasa...really nakupenda sans J"
J Akajibu hivi:
" Hata mimi nakupenda F na ninahitaji uwe karibu na mimi siku zote kunielimisha na kuniasa kama rafiki yangu..."
Kuna vitu vinauma sana kama kuibiwa Mume au Mke au may be kugongewa Demu/Mchumba wako unayempenda na mtu mwingine lakini kuambiwa wewe ni Rafiki na yule unayempenda ni MAUMIVU makubwa sana na inauma kwa kweli.
Niseme tu pamoja na kwamba kila mtu ana haki ya kukubali na kukataa lakini kwa kweli Jambo la kukataliwa na mtu ambaye ulikuwa naye muda mwingi katika mambo mbalimbali ni jambo linaloumiza sana.
Nashindwa nianzie wapi tena kutokana na Maneno yake ya "FriendShip"
Sent using Jamii Forums mobile app