Kuna mdau yupo halmashauri ya mjini shinyanga kasema hela waliyohongwa na ccm\nec sasa imekwisha hivyo wanaona aibu mbele ya jamii. na kasema baada ya kuona mgombea wa chadema keshashinda mkurugenzi kutumwa akasema mgombea wa ccm ndo kashinda kwa kudra za m\mungu akakosea ulimi ukakataa akasema ukweli kuwa chadema wameshinda. akaitwa akaambiwa hana kazi. akasema yupo tayari kujiuzulu. ccm wakamwambia huyu mgombea wetu atakuwa waziri..nikauli ya jk...hivyo akatangaza baadaya nususaa tena ati mgombea wa ccm kashinda. HALAFU ccm\nec wakachoma masanduku ya kura ili kupoteza ushahidi...JE KUNA SABABU YA MIE KUPIGA KURA 2015 KAMA TAYARI WASHINDI HUJULIKANA KABLA!