GABRAISON5
JF-Expert Member
- May 13, 2013
- 207
- 43
Man u chama langu toka ktambo.nilikuwa najivunia kuwa shabiki wa hii klabu niliogopwa na kila timu pale uingereza ulaya na dunian kote waliniheshimu ila moyes tangu umeichukua timu kila mtu anakuja ot anafanya yake anaondoka.nasema inatosha