Inatisha

mmmhhhh labda ungepeleke hii kwenye MMU..
maana ungepeta maoni zaidi ( im just saying)
 
mmmhhhh labda ungepeleke hii kwenye MMU..
maana ungepeta maoni zaidi ( im just saying)

MMU inafanyiwa ukarabati leo, hakuruhusiwi kupelekwa sredi mpaka tangazo jipya litakapotolewa

asanteni kwa ushirikiano.

spare mod: klorokwini
 
MMU inafanyiwa ukarabati leo, hakuruhusiwi kupelekwa sredi mpaka tangazo jipya litakapotolewa

asanteni kwa ushirikiano.

spare mod: klorokwini

Kwa hiyo kaona bora aweke huku ili 2 awe kaanzisha thread au?NOT FUNNY UC.RUDIE TENA.
 
kwanini wanafunzi wa kike wa vyuoni wameanza kuwa wapenzi wao kwa wao!:angry:

Inawapa amani zaidi manake akiku-cheat mtu anayekuchezea kwa kidole tu haiumizi sana kama ambavyo angeku-cheat mtu anayekuchezea na "mkulungu". Ni influence ya "western cultures" ambayo vijana (wadogo zetu) wengi wanaiga ili waonekane wa kimagharibi zaidi na kwamba wanaenda na wakati. Upuuzi mtupu! Sijui nani kawaambia kinu kwa kinu kinaivisha kisamvu, wanadhani aliyeweka kinu na mchi alikuwa mjinga!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom