Mathayo Fungo
JF-Expert Member
- Nov 13, 2018
- 319
- 510
Inatarajiwa kuwa watalii 10,000 kutoka jiji la Shangai China watakuja nchini mnano mwaka 2019 baada ya makubaliano yaliyofanywa na kampuni ya Touchroad International Group ya nchini humo na bodi ya utalii nchini (TTB).