Inatafutwa seriously relationship....

marigy

JF-Expert Member
Aug 13, 2017
341
402
Kama title inavojieleza, natafuta mtu atakae kuwa serious kene mahusiano nami ntapatia Yale mapenzi ya dhati kabisa....

Wasifu wangu........
Chuo mwaka wa pili
Mrefu futi 5.8,umri miaka 24
Maji ya kunde
Mwembamba wastani ,


Anaetafutwa
Awe na ya dhati mapenzi ,umri kuanzia miaka 18 up to 22 ,sura haizingatiw Sana, wala shep haizingatiw Sana ila awe na nyama nyama nyingi kidogo ya wastani tu.


Alie tayari aje pm ntamtumia na picha zangu pia... Nipo daresalam .......
 
Kama title inavojieleza, natafuta mtu atakae kuwa serious kene mahusiano nami ntapatia Yale mapenzi ya dhati kabisa....

Wasifu wangu........
Chuo mwaka wa pili
Mrefu futi 5.8,umri miaka 24
Maji ya kunde
Mwembamba wastani ,


Anaetafutwa
Awe na ya dhati mapenzi ,umri kuanzia miaka 18 up to 22 ,sura haizingatiw Sana, wala shep haizingatiw Sana ila awe na nyama nyama nyingi kidogo ya wastani tu.


Alie tayari aje pm ntamtumia na picha zangu pia... Nipo daresalam .......
Subiri wanaume waje wakuchumbie, maana kwa muandiko huu inaelekea una kila sifa za kuitwa mama mwenye nyumba....
 
Subiri wanaume waje wakuchumbie, maana kwa muandiko huu inaelekea una kila sifa za kuitwa mama mwenye nyumba....
Mwandiko upi mkuu? Lkn any way hawezi kosa mtu Kama wewe kati ya members wote.... No Kama changamoto nimeipokea lkn ili tu usinitoe kene reli ngoja tu nkushukuru kwa mchango wako
 
Mwandiko upi mkuu? Lkn any way hawezi kosa mtu Kama wewe kati ya members wote.... No Kama changamoto nimeipokea lkn ili tu usinitoe kene reli ngoja tu nkushukuru kwa mchango wako
Kwani nimekosea wapi..
Kwani kukusifia kama mama mrembo, nimekosea mkuu wangu...
 
seriously relationship we ya nini sasa?hiyo si imeshakamilika
Ipi iliyo kamilika mkuu? Kwan kuna sehem nimesema nipo Ken relationship na mtu hapo kene maelezo yangu? Any way relationship ndio tena closer relationship....!
 
Kwani nimekosea wapi..
Kwani kukusifia kama mama mrembo, nimekosea mkuu wangu...
Umekosea ndio sababu Mimi jinsia ya kiume.. Sasa huko unakoenda du.... Any way lkn mi pia sijazoea kutukana tena na mtu ambay simfahamu...... So thanks to all you are doing in this thread.... Am being humble my self and waiting for positive reply.....
 
Umekosea ndio sababu Mimi jinsia ya kiume.. Sasa huko unakoenda du.... Any way lkn mi pia sijazoea kutukana tena na mtu ambay simfahamu...... So thanks to all you are doing in this thread.... Am being humble my self and waiting for positive reply.....
Samahani sana mkuu, sikua nimeitambua jinsia yako tafadhali.

Niwie radhi mkuu.... naomba unisamehe bure kabisa.....
 
Kama title inavojieleza, natafuta mtu atakae kuwa serious kene mahusiano nami ntapatia Yale mapenzi ya dhati kabisa....

Wasifu wangu........
Chuo mwaka wa pili
Mrefu futi 5.8,umri miaka 24
Maji ya kunde
Mwembamba wastani ,


Anaetafutwa
Awe na ya dhati mapenzi ,umri kuanzia miaka 18 up to 22 ,sura haizingatiw Sana, wala shep haizingatiw Sana ila awe na nyama nyama nyingi kidogo ya wastani tu.


Alie tayari aje pm ntamtumia na picha zangu pia... Nipo daresalam .......
wewe ni ke au me
 
Baada ya kuwa unserious kwenye mahusiano kwa miaka mingi na kuwatesa wengi sasa hivi unataka seriously relationship!!.......Mungu anakuona!!.....you won't make it,believe me!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom