The Stress Challengerr
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 2,393
- 6,551
Walitabiri wiki tatu zilizopita ikifika pasaka waafrika weusi watapuputika kama Nzi kwaugonjwa wa Corona na walikuwa wanasubiri kwa hamu sana itokee. Hadi jana walishangaa masela bado tunadunda tuu licha ya kujisaidia porini na vichakani na IQ zetu mbovu zenye Mushkheli.
Kuna kahusuda fulan wanayo hawa watu. Sasa hivi wamehamisha data zao kwa black Americans kujifariji eti wanakufa kwa wingi wakati wao ndio wanapuputika. Kwasababu data zinaonyesha vifo vya coronavirus Marekani Black Americans na minority wengine ni 55% na mizungu ni 45% kwa hiyo blacks pekee yao wanaokufa tuseme ni 25% ukimlinganisha na mizungu 45%.
Licha ya mapungufu yetu Mungu anazidi kuturehemu.
Unakuta chama cha Republican wanajisifia kumjua Yese siju anti arbition lakini wanafuta makusudi fungu la hela la social benefits na states handouts kisa zinawafaidisha kwa wingi Black America wakati hela yenyewe ni ndogo sana kwenye budget kama tone baharini na haidhuru chochote na kampuni zao zinaibia mafuta arabuni.
Democrats ndio hawana time na Yesu na kibaya wanaunga ushoga ila wanajali sana walala hoi. Kwa kila taifa siyo kila mtu anajiweza lazima serikali ipige watu jeki kwenye social benefits.
Waafrika weusi mababu zao wamefanya kazi na kujenga Marekani bila kulipwa wakati wautumwa kwa manyanyaso ni wakati wa vizazi vyao vya sasa wafurahie matunda ya mababu zao kwa kupumzika.
Mungu azidi kulinda ngozi nyeusi popote pale duniani.
Sasa hivi mwenye kinga imara ya mwili ndiye mshindi kuliki mwenye hela
Kuna kahusuda fulan wanayo hawa watu. Sasa hivi wamehamisha data zao kwa black Americans kujifariji eti wanakufa kwa wingi wakati wao ndio wanapuputika. Kwasababu data zinaonyesha vifo vya coronavirus Marekani Black Americans na minority wengine ni 55% na mizungu ni 45% kwa hiyo blacks pekee yao wanaokufa tuseme ni 25% ukimlinganisha na mizungu 45%.
Licha ya mapungufu yetu Mungu anazidi kuturehemu.
Unakuta chama cha Republican wanajisifia kumjua Yese siju anti arbition lakini wanafuta makusudi fungu la hela la social benefits na states handouts kisa zinawafaidisha kwa wingi Black America wakati hela yenyewe ni ndogo sana kwenye budget kama tone baharini na haidhuru chochote na kampuni zao zinaibia mafuta arabuni.
Democrats ndio hawana time na Yesu na kibaya wanaunga ushoga ila wanajali sana walala hoi. Kwa kila taifa siyo kila mtu anajiweza lazima serikali ipige watu jeki kwenye social benefits.
Waafrika weusi mababu zao wamefanya kazi na kujenga Marekani bila kulipwa wakati wautumwa kwa manyanyaso ni wakati wa vizazi vyao vya sasa wafurahie matunda ya mababu zao kwa kupumzika.
Mungu azidi kulinda ngozi nyeusi popote pale duniani.
Sasa hivi mwenye kinga imara ya mwili ndiye mshindi kuliki mwenye hela