Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,415
- 21,110
Aisee hali ilipofikia kwa sasa ni mbaya .
Yani Msondo ngoma licha ya ukubwa wa bendi lakini kwa show wanalipwa laki 2 mpaka nne tu tena mbaya zaidi kiingilio vinywaji tu.
Msondo wameshatimuliwa bulyaga na sugar ray bar kisa kuomba kuongezwa malipo angalau walipwe laki 5.
Sasa ninachojiuliza hiyo laki 4 wanagawana vipi maana wasanii ni wengi ,bado pesa ya usafiri kubebea vyombo vyao vya muziki ,bado hapo mavazi nk.
Tena bora hata ya Msondo kidogo inapendwa na wengi kuliko Sikinde na Talent band hawa sidhani kama wanalipwa hata laki 3.
Yani Msondo ngoma licha ya ukubwa wa bendi lakini kwa show wanalipwa laki 2 mpaka nne tu tena mbaya zaidi kiingilio vinywaji tu.
Msondo wameshatimuliwa bulyaga na sugar ray bar kisa kuomba kuongezwa malipo angalau walipwe laki 5.
Sasa ninachojiuliza hiyo laki 4 wanagawana vipi maana wasanii ni wengi ,bado pesa ya usafiri kubebea vyombo vyao vya muziki ,bado hapo mavazi nk.
Tena bora hata ya Msondo kidogo inapendwa na wengi kuliko Sikinde na Talent band hawa sidhani kama wanalipwa hata laki 3.