Yeah...ngoma zake nazionaga sana FBHuyu mwamba hana label yoyote inayosimamia kazi zake...
Lakini yeye huweka nyimbo zake facebook..aise kule hiyo nyoma ina view zaidi ya millioni 35.
Target yake iko facebook video na huko amewin soko.
Kweli hyu Jamaa anajua kuwaanda shabiki vzuriHuyu mwamba hana label yoyote inayosimamia kazi zake...
Lakini yeye huweka nyimbo zake facebook..aise kule hiyo nyoma ina view zaidi ya millioni 35.
Target yake iko facebook video na huko amewin soko.