Shoo Gap
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 246
- 71
|
|
wangetakiwa wanyongwe hadi wafe.
Mkuu Mamndenyi: Watu wa haki za binadamu hawataki kabisa hicho kitu na wanapambana kuhakikisha kua katiba mpya inaondoa hukumu ya kifo. Kama ikifanikiwa basi watu watazidi kujichukulia sheria mkooni maana haiwezekani mtu ana virusi hala anamuambukiza mwanao kwa njia ya kubaka halafu baada ya miaka michache unamuona mtaani ukakubali yaishe kirahisi.
This is controversy.Huyu mtu ana VVU definately one day atakufa-na yeye analitambua hilo.Ukimnyonga leo,kwake yeye kifo ni kifo tu!Kwa maana nyingine utakuwa umemsaidia sana bila wewe kujua;na pengine ndilo lilikuwa lengo lake! Ni kweli kifo ni kifo,ila maumivu yanatofautiana.Kifo cha kunyongwa,marehemu anapata maumivu kwa sekunde chache tu,ila kifo cha kuumwa(HIV/AIDS),mgonjwa anapata maumivu kwa muda mrefu.
Siwanyanyapai watu wanaoishi na VVU,ila kwa huyu jamaa kuishi jela/kuugua HIV/AIDS ni adhabu kali kuliko kama angesaidiwa kunyongwa in few seconds.Huko atapata muda wa kutambua ukubwa wa kosa alilotenda.On the other hand kwa ile mijamaa inayochangamkia 0713 huko gerezani,jamaa ataigawia LUKU halafu mwisho wa siku inawaka yote,huh!
Anyway,kitendo alichotendewa huyu mtoto kinasikitisha sana kiukweli.Tunatakiwa kukilaanai kwa nguvu zetu zote.By the way,inaonekana teknolojia imepanuka sana siku hizi,maana kwa vipimo tulivyozoea,mtu anagundulika kuwa na VVU baada ya miezi 3!
Still I'm on contrary with that, siku hizi kuna ARVs tofauti na zamani ambapo watu walikua wanakufa kwa mateso sana. Siku hizi hata magerezani wanapewa chakula cha uhakika kwa watu wenye matatizo ya afya.