Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,957
- 8,073
Tununue angalau nne tuzigawe kwa kanda
Mabishano yalikuwa kati ya Dr Mpoki na nani?!
Sasa mnalalamika nini?..mabishano kati ya Ndugai na Mbowe.
..according to TL yalimalizwa na kauli ya Dr.Mpoki, "...I am a medical doctor, he goes to Nairobi..."
Sasa mnalalamika nini?
Ofisi ya KUB ina fungu lake la fedha...... Mbowe angekodi tu ndege!
hata selikali ikinunua helkopta na ndege kwa ajili amburence bado mtabeza tu
kwani aliponunua ndege za usafili mlibeza
hamna jema
Hata kwenye lile igizo la mwanajeshi mstaafu eti kupigwa risasi jiwe alienda, lakini shambulizi halisi hakumtembelea...Ofisi ya KUB ingekuwa na fedha hizo isingelazimu TL kusafirishwa kwa ndege iliyokodishwa kwa kudhaminiwa na Mh.Turki mbunge toka ZNZ.
..Badala ya Jiwe na Ndugai kuokoa jahazi, ilibidi Mh.Turki ndiyo awadhamini CDM kupata ndege ya kukodi kumuwahisha TL Nairobi.
..Hivi angekuwa Mnadhimu wa kambi ya serikali ameshambuliwa Jiwe na Ndugai wangemsusia kama walivyofanya kwa TL?