Szczepan Guevara Jr
Member
- May 28, 2013
- 91
- 17
HUU UJUMBE NI WA KWELI WAKATI NAELEKEA KAZINI NIMEPISHANA NA BASI G LA MAHABUSU LIKIWAPELEKA KISUTU MUDA WA SAA MOJA ASUBUHI NIMERUSHIWA BARUA HII NA MAHABUSU KUTOKA KWENYE GARI
Yoyote atakayeokota kibarua hiki tunaomba msaada wako kama unasimu uwafahamishe waandishi wa habri TAREHE 17.6.2013 MAHABUSU WA GEREZA LA KEKO tunawaomba muwapigie waandishi wa habari waje MAHAKAMANI leo siku ya JUMATATU kutakuwa na mgomo wa mahabusu KUJIACHA UCHI wakati wanakwenda MAHAKAMANI KWA WAHESHIMIWA.
NAMABA ZA MWANDISHI WA NIPASHE
0717055551
Wajitahidi wafike mahakamani kabla ya saa 3.30 asubuhi wawe wamefika MAHAKAMA YA KISUTU wawe karibu na MAHABUSU YA WANAWAKE ndipo tutakapopita kwenda kwa muheshimiwa SUNDI FIMBO pale kwenye ganzi zinapoanzia ndipo tukio litakapoanzia .
YOYOTE ATAKAYESOMA WATAARIFU WAANDISHI WA HABARI LEO LEO
Huo ndio ujumbe niliorushiwa kutoka kwa mahabusu waliokuwepo kwenye basi wakipelekwa kisutu na BARUA NINAYAO HAPA.
Yoyote atakayeokota kibarua hiki tunaomba msaada wako kama unasimu uwafahamishe waandishi wa habri TAREHE 17.6.2013 MAHABUSU WA GEREZA LA KEKO tunawaomba muwapigie waandishi wa habari waje MAHAKAMANI leo siku ya JUMATATU kutakuwa na mgomo wa mahabusu KUJIACHA UCHI wakati wanakwenda MAHAKAMANI KWA WAHESHIMIWA.
NAMABA ZA MWANDISHI WA NIPASHE
0717055551
Wajitahidi wafike mahakamani kabla ya saa 3.30 asubuhi wawe wamefika MAHAKAMA YA KISUTU wawe karibu na MAHABUSU YA WANAWAKE ndipo tutakapopita kwenda kwa muheshimiwa SUNDI FIMBO pale kwenye ganzi zinapoanzia ndipo tukio litakapoanzia .
YOYOTE ATAKAYESOMA WATAARIFU WAANDISHI WA HABARI LEO LEO
Huo ndio ujumbe niliorushiwa kutoka kwa mahabusu waliokuwepo kwenye basi wakipelekwa kisutu na BARUA NINAYAO HAPA.