Inasikitisha sana genge la mitandaoni kujiita Watanzania wote 60 milioni kisha kumuendesha Mkuu wa Nchi watakavyo

omtiti

JF-Expert Member
Jun 19, 2019
1,022
1,590
Watu hawa jamii ya wachache wenye multiple users walioko mitandaoni ndio imekuwa sauti ya Watanzania wote, inasikitisha sana, jamii hii inatumika sivyo ndivyo ,wamejikita kama wao ndio wenye hati miliki ya hii nchi ,imefikia mpaka kiongozi mkuu wa nchi pamoja na kuwa na vyanzo vyote vya taarifa lakini kakundi haka kanamchezesha katakavyo.

Nakumbuka uteuzi wa Biswalo kundi hili lilimshambulia sana kiongozi mkuu wa nchi kwa matusi ya kila aina , katika matusi hayo mengine ni ya aibu kabisa kwa jamii yoyote iliostarabika
Leo kafanya kama wanavyotaka amepewa sifa lukuki.
Ni kwakua tu bwana yule kapoteza ubunge,yetu macho tuendelee kutafuta kusemwa vizuri mitandaoni na genge hili vigeugeu
 
Watu hawa jamii ya wachache wenye multiple users ilioko mitandaoni ndio imekuwa sauti ya watanzania wote, inasikitisha sana, jamii hii inatumika sivyo ndivyo ,wamejikita kama wao ndio wenye hati miliki ya hii nchi ,imefikia mpaka kiongozi mkuu wa nchi pamoja na kuwa na vyonzo vyote vya taarifa lakini kakundi haka kanamchezesha katakavyo.

Nakumbuka uteuzi wa Biswalo kundi hili lilimshambulia sana kiongozi mkuu wa nchi kwa matusi ya kila aina .
Leo kafanya kama wanavyotaka amepewa sifa lukuki.
Ni kwakua tu bwana yule kapoteza ubunge,yetu macho tuendelee kutafuta kusemwa vizuri mitandaoni na genge hili vigeugeu
Acha dharau
 
Watu hawa jamii ya wachache wenye multiple users ilioko mitandaoni ndio imekuwa sauti ya watanzania wote, inasikitisha sana, jamii hii inatumika sivyo ndivyo ,wamejikita kama wao ndio wenye hati miliki ya hii nchi ,imefikia mpaka kiongozi mkuu wa nchi pamoja na kuwa na vyonzo vyote vya taarifa lakini kakundi haka kanamchezesha katakavyo.

Nakumbuka uteuzi wa Biswalo kundi hili lilimshambulia sana kiongozi mkuu wa nchi kwa matusi ya kila aina .
Leo kafanya kama wanavyotaka amepewa sifa lukuki.
Ni kwakua tu bwana yule kapoteza ubunge,yetu macho tuendelee kutafuta kusemwa vizuri mitandaoni na genge hili vigeugeu
Tulia hapo hapo! Ili zamu yako na wewe ikifika,upewe haki yako. Si ndiyo nyinyi enzi zile mlituita sisi wapiga dili, wahujumu uchumi na watu wenye fyeti feki! pale tu tulipo mlalamikia malaika wenu kwa uonevu?

Ni zamu yenu sasa na nyinyi kunyooshwa. Na mtaandamana kwa wingi sana kwenda Chattle kuzuru kaburi lake, huku mkiwa na majonzo lukuki kwa kuwaacha yatima.
 
Watu hawa jamii ya wachache wenye multiple users ilioko mitandaoni ndio imekuwa sauti ya watanzania wote, inasikitisha sana, jamii hii inatumika sivyo ndivyo ,wamejikita kama wao ndio wenye hati miliki ya hii nchi ,imefikia mpaka kiongozi mkuu wa nchi pamoja na kuwa na vyonzo vyote vya taarifa lakini kakundi haka kanamchezesha katakavyo.

Nakumbuka uteuzi wa Biswalo kundi hili lilimshambulia sana kiongozi mkuu wa nchi kwa matusi ya kila aina .
Leo kafanya kama wanavyotaka amepewa sifa lukuki.
Ni kwakua tu bwana yule kapoteza ubunge,yetu macho tuendelee kutafuta kusemwa vizuri mitandaoni na genge hili vigeugeu
You are very right!
Kuna kakikundi kadogo kameinvest fedha na time kupiga propaganda mitandaoni lkn kwa uongozi wa vyama vya siasa.
Picha ya mitandaoni na Hali halisi mitaani ni tofauti sana. Mfano ni walivyokuwa wanamshambulia Magu lakini majority wanamkubali, ushahidi ni uchaguzi.
Mama ajiangalie.
 
You are very right!
Kuna kakikundi kadogo kameinvest fedha na time kupiga propaganda mitandaoni lkn kwa uongozi wa vyama vya siasa.
Picha ya mitandaoni na Hali halisi mitaani ni tofauti sana. Mfano ni walivyokuwa wanamshambulia Magu lakini majority wanamkubali, ushahidi ni uchaguzi.
Mama ajiangalie.
Acha upumbavu wewe. Uchaguzi upi unaouongelea wewe?
 
Watu hawa jamii ya wachache wenye multiple users ilioko mitandaoni ndio imekuwa sauti ya watanzania wote, inasikitisha sana, jamii hii inatumika sivyo ndivyo ,wamejikita kama wao ndio wenye hati miliki ya hii nchi ,imefikia mpaka kiongozi mkuu wa nchi pamoja na kuwa na vyonzo vyote vya taarifa lakini kakundi haka kanamchezesha katakavyo.

Nakumbuka uteuzi wa Biswalo kundi hili lilimshambulia sana kiongozi mkuu wa nchi kwa matusi ya kila aina .
Leo kafanya kama wanavyotaka amepewa sifa lukuki.
Ni kwakua tu bwana yule kapoteza ubunge,yetu macho tuendelee kutafuta kusemwa vizuri mitandaoni na genge hili vigeugeu
We matak® kwani waliopo mitandaoni Ni wapinzani tu papasi wewe?? Si hata ninyi mataga mpo mitandaoni pia? Mnashindwa Nini kumuendesha mama? Waliopo mitandaoni n watanzania na hicho anachokifanya mama Ni kile ameona wanakitaka, ndorobo wewe
 
You are very right!
Kuna kakikundi kadogo kameinvest fedha na time kupiga propaganda mitandaoni lkn kwa uongozi wa vyama vya siasa.
Picha ya mitandaoni na Hali halisi mitaani ni tofauti sana. Mfano ni walivyokuwa wanamshambulia Magu lakini majority wanamkubali, ushahidi ni uchaguzi.
Mama ajiangalie.
Yaani kwa mawazo haya bora tufanye uchaguzi kama china kila mkoa utoe watu 100 tu wenye akili timamu ndio wapige kura
 
😂😂 Mataga round Hii lazima Muite maji "Mma". Na ndiyo tunazidi kuwakera! Tulianza na
Jamaa uchwara (Kakurwa)- hamkuamini
Tukaja "Mavieite" (Chakubanga) - mkadhani mnaota. Sasa ni
Ole Sabaya- mmepigwa na butwaa. Na sasa hvi:
Mbeya& Iringa is loading,,,,,,, Lazima Tuheshimiane round Hii, one man show mkaindeleze huko kuzimu sio Tanzania 🇹🇿
 
You are very right!
Kuna kakikundi kadogo kameinvest fedha na time kupiga propaganda mitandaoni lkn kwa uongozi wa vyama vya siasa.
Picha ya mitandaoni na Hali halisi mitaani ni tofauti sana. Mfano ni walivyokuwa wanamshambulia Magu lakini majority wanamkubali, ushahidi ni uchaguzi.
Mama ajiangalie.
Mbaya zaidi hawana hoja ,ni kazi maalumu ya kutusi tu,nasi hatutachoka kuusema ukweli ,acha watukane wakiamini tutarudi nyuma ,nasema impossible!
 
RAIS SAMIA, WANAWAKE, UTAWALA WA SHERIA NA HAKI ZA RAIA

Shangazi aongea kuhusu Tanzania kubahatika kumpata Rais Samia Suluhu Hassan na wasidhani wanaweza kumuendesha


Source : E Digital
 
Watu hawa jamii ya wachache wenye multiple users ilioko mitandaoni ndio imekuwa sauti ya watanzania wote, inasikitisha sana, jamii hii inatumika sivyo ndivyo ,wamejikita kama wao ndio wenye hati miliki ya hii nchi ,imefikia mpaka kiongozi mkuu wa nchi pamoja na kuwa na vyonzo vyote vya taarifa lakini kakundi haka kanamchezesha katakavyo.

Nakumbuka uteuzi wa Biswalo kundi hili lilimshambulia sana kiongozi mkuu wa nchi kwa matusi ya kila aina .
Leo kafanya kama wanavyotaka amepewa sifa lukuki.
Ni kwakua tu bwana yule kapoteza ubunge,yetu macho tuendelee kutafuta kusemwa vizuri mitandaoni na genge hili vigeugeu

Kwamba avatar yako ni ya mwuaji katili, mbakaji wa watoto na wanawake katika pande za misitu ya Congo, aliyeko kifungoni kwa hukumu tokea ICC bwana Bosco Ntaganda kama shujaa wako;

Kwamba hiyo haitoshi na bado waona una moral authority ya kumtuhumu mama rais wetu mpendwa Samia kizezeta zezeta tu kuwa anaendeshwa mitandaoni kama gari bovu;

Kwamba huoni ni sawa kwa watuhumiwa wote wa ukiukaji haki kuwajibishwa kama anavyowajibishwa shujaa wako;

Nikuache ujichagulie mwenyewe jina linalokupasa, kwani hata nikikuita shetani bado halikuakisi kikamilifu wewe bwana terminator uchwara!
 
You are very right!
Kuna kakikundi kadogo kameinvest fedha na time kupiga propaganda mitandaoni lkn kwa uongozi wa vyama vya siasa.
Picha ya mitandaoni na Hali halisi mitaani ni tofauti sana. Mfano ni walivyokuwa wanamshambulia Magu lakini majority wanamkubali, ushahidi ni uchaguzi.
Mama ajiangalie.
Uchaguzi wa 2020ni ushahidi kuwa magufuli alikubalika?Sina hoja najizuia ku.....
 
Back
Top Bottom