simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Kwa kasi hii kufika 2120 tutakaribia karibia uchumi wa kati.
Hakuna laana chochote, mimi mwenyewe nagawa laana, akinitukana nitamtukana tusi lolote mradi lmuume kesho ajibu hoja aache matusi. ameanza kunitusi, sitamchagulia tusi. lolote litatoka mdomoni mwangu. kwaheri!Hii kutafuta ubingwa wa upuuzi na matusi ya kipumbavu yanini!! Unamtukana mama wa watu kakosea nini? Ama waitafuta laana?
Hiyo hardtop iko juu zaidi ya hiyo V8 mkuu.Inamaana hiyo cruiser mkonga imepita afu cruiser vx v8 imekwama!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wewe hujui kuwa wahujumu uchumi wakubwa wa nchi hii ni viongozi wa CCM na vikaragosi vyao!!!?
Tulia tu kidogo utamwelewaWewe ni bomu takataka kama kweli inatoka moyoni mwako au kama unakejeli ya Gambo, then fine!
Na kama v8 ni auto na hizo gears kuna namna ya kucheza nazo na kucheza na steering pia. Linakuja na suala la dereva ingawa naamini dereva kama wa KM lazima awe ni master of all roads katka hali yeyote ile. Kuzama au kukwama bahati mbaya pia na wakati mwingine inakupasaAf all zote ni 4WD. Pia kuwa V8 it doesn't mean kwamba ndo ina nguvu sana. Kuna L5 au L6 ambazo zinazi outperform v8 vizuri kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza kula ugali labda akili itarudi.Wewe ni bomu takataka kama kweli inatoka moyoni mwako au kama unakejeli ya Gambo, then fine!
Kwanza hueleweki unalilia nini
Nchi ina changamoto ya barabara serikali ijitahidi kutatua changamoto kuliko kujisifia, kwani barabara zikiwa bora itakuwa siri? Si kila mtu ataona barabara nzuri?
Kuna maeneo serikali imejitahidi barabara ni nzuri na watu hupiga picha na kupost mbona hukuja kulalamika juu ya hilo?
Wewe ni bomu takataka kama kweli inatoka moyoni mwako au kama unakejeli ya Gambo, then fine!