Donasian kabengo
JF-Expert Member
- Jul 29, 2016
- 792
- 405
Nchi nzima ya wapi? Kama unaongelea tz umechanganyikiwa we wewe hujui rais magufuli kaunganisha lami wilaya na kata zote za nchi?Gambo alizungumzia kupost barabara mbovu za mbugani sio za nchi nzima
Ungekunya hadharani ndio tungejua una uchungu na Gambo,kulia hata paka analia
Af all zote ni 4WD. Pia kuwa V8 it doesn't mean kwamba ndo ina nguvu sana. Kuna L5 au L6 ambazo zinazi outperform v8 vizuri kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza hueleweki unalilia nini
Nchi ina changamoto ya barabara serikali ijitahidi kutatua changamoto kuliko kujisifia, kwani barabara zikiwa bora itakuwa siri? Si kila mtu ataona barabara nzuri?
Kuna maeneo serikali imejitahidi barabara ni nzuri na watu hupiga picha na kupost mbona hukuja kulalamika juu ya hilo?
Dah hivi inawezekana je mtu kama Bashiru anafanya kitendo kama hiki, ni ukatili kwa nchi yetu siyo kwa Gambo na Rpc peke yao.
Huu ni uhujumu uchumi ni kweli hauna jina lingine.
Hivi kaipost wapi au status yake ya whatsapp
Wewe ni bomu takataka kama kweli inatoka moyoni mwako au kama unakejeli ya Gambo, then fine!
KUFAAAAA MACHADEMAA BANA MMASHIDAAA LOH SUBIRI MB WA CCM HAPO MJINI 2021/UTAELEWA
Hueleweki
Nadhani Bashiru kesharipoti hivyo..ingekuwa Mimi na wewe ndio tungekuwa ndani..Smart Doctor.Angekuwa Arusha huyu angewekwa ndani,hairuhusiwi ku post barabara mbovu kwani si angeripoti kwa wahusika ifanyiwe kazi?yaani ingekuwa kule Arusha kwa RC Gambo na Rpc shana huyu jamaa angekuwa ndani na kesi ya uhujumu uchumi