nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Kwa kweli kama Watanzania hatutasimama pamoja na wazalendo wakubwa nchii hii yaani RC Gambo pamoja na RPC shana basi historia itatuhukumu sana
Jana nimeweka picha ya jaji namba 62 alivyopost picha ya kuidhalilisha nchi na kuhujumu uchumi leo tena tunaona Dr Bashiru kafanya the same, tunaomba Rais Magufuli uingilie kati uchukue hatua kali dhidi ya Bashiru na yule jaji ili umpe moyo kijana wako mpendwa ambaye unamuamini yaani RC Gambo katika kulipigania taifa
Jamani tupo kwenye vita ya kiuchumi,kupost haya mapicha yanayodaiwa kuwa ni barabara mbovu ni kuhujumu uchumi,haikubaliki, maadaui wanaweza wakajiona wameshinda kisaikolojia
NAUNGANA NA RC GAMBO NA RPC SHANA KATIKA KUISHINDA VITA HII YA WANAOPOST BARABARA MBOVU kama kweli ni mbovu si watoe taarifa kwa wahusika zitengenezwe?
Jana nimeweka picha ya jaji namba 62 alivyopost picha ya kuidhalilisha nchi na kuhujumu uchumi leo tena tunaona Dr Bashiru kafanya the same, tunaomba Rais Magufuli uingilie kati uchukue hatua kali dhidi ya Bashiru na yule jaji ili umpe moyo kijana wako mpendwa ambaye unamuamini yaani RC Gambo katika kulipigania taifa
Jamani tupo kwenye vita ya kiuchumi,kupost haya mapicha yanayodaiwa kuwa ni barabara mbovu ni kuhujumu uchumi,haikubaliki, maadaui wanaweza wakajiona wameshinda kisaikolojia
NAUNGANA NA RC GAMBO NA RPC SHANA KATIKA KUISHINDA VITA HII YA WANAOPOST BARABARA MBOVU kama kweli ni mbovu si watoe taarifa kwa wahusika zitengenezwe?