MKEHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 714
- 1,137
Nimesikitishwa sana na kitendo cha Naibu Waziri mmoja wa Marekani kupewa muda wa kukutana na vyama vya siasa Tanzania.
Nimejiuliza mara nyingi sana kichwani kuwa je, Katambi anaweza kwenda USA akapewa muda wa kukutana na Biden na akaomba kukutana na chama cha REPUBLICAN wakampa mawazo yao jinsi wanavyoendesha siasa zao kule?
Je, USA wanaweza wakaenda CUBA pale Havana wakaomba kuongea na umma hasa hasa wenye mrengo tofauti wa kisiasa na wakapewa huo muda?
Kwanini tunashindwa kujiongoza kama taifa mpaka mataifa mengine yatufundishe cha kufanya wakati gani, namna gani, dhidi ya nani.
Kweli tumesoma vizuri na kuelemika kwa kiwango cha kujielewa na kijitawala wenyewe?
Serikali inaweza kuwa inafanya vibaya kwa baadhi ya mambo lakini je lazima USA ije na kuturekebisha na kutuonyesha cha kufanya?
Je, huu ndio UKOLONI MAMBOLEO?
Nimejiuliza mara nyingi sana kichwani kuwa je, Katambi anaweza kwenda USA akapewa muda wa kukutana na Biden na akaomba kukutana na chama cha REPUBLICAN wakampa mawazo yao jinsi wanavyoendesha siasa zao kule?
Je, USA wanaweza wakaenda CUBA pale Havana wakaomba kuongea na umma hasa hasa wenye mrengo tofauti wa kisiasa na wakapewa huo muda?
Kwanini tunashindwa kujiongoza kama taifa mpaka mataifa mengine yatufundishe cha kufanya wakati gani, namna gani, dhidi ya nani.
Kweli tumesoma vizuri na kuelemika kwa kiwango cha kujielewa na kijitawala wenyewe?
Serikali inaweza kuwa inafanya vibaya kwa baadhi ya mambo lakini je lazima USA ije na kuturekebisha na kutuonyesha cha kufanya?
Je, huu ndio UKOLONI MAMBOLEO?