Inasikitisha na kuhuzunisha sana jinsi 'plants' za madini zinavyohatarisha maisha ya watu

Tatizo shule. Mtu anaweza akasema eti uzoefu. Anayefanya kwa uzoefu na aliyepita shule ni vitu tofauti kabisa. Huyu wa mtaani anajua kuwa unachanganya cyanide. Lakini uliepita shule unafahamu kuwa unachanganya cyanide kutengeneza complex compounds, unakuwa unajua kinachofanyika. Unajua chemical reaction zinazofanyika. Unafahamu kuwa cyanide ni moja ya sumu hatari duniani. Ukijua hayo huwezi handle hizo kemikali kizembe, ni kama mabomu.

Sasa mtu anayefanyia uzoefu anafanya tu, yupo peku, hana googles nk. Hata principle rahisi za usimiminie asidi kwenye maji haifahamu. Ajali kila leo.

Japo watu wanatafuta pesa lakini serikali inabidi kuweka uthibiti mkali kwenye afya ya watu na mazingira. Afadhali ziwa victoria linatoa maji, maziwa yasiyotoa maji kama ziwa Rukwa miaka ijayo yatakuwa sumu tupu.
Hapa umeongea point ya msingi, na kuna member nimemwambia basics ni kitu cha muhimu, uzoefu tu haitoshi.
 
Kiukweli nilibahatika kutembelea jumla ya plants za madini 9, tatu kahama Shinyanga na 6 wiliya ya Bukombe Geita. Nilichokiona na kukishuhudia kwenye plants hizo ni cha kuhuzunisha na kusitikisha Sana haswa kuhusu afya za watu walioajiriwa kwenye hizo plants na wanaoishi kuzunguka hizo plants.

Plants hizo ambazo zinajihusisha na uchenjuaji wa dhahabu kutoka kwenye mchanga au mawe ni za watu wenye kipato cha Kati na cha juu, ili kuendesha plants hizo, wataalamu mbalimbali wa kusimamia na kuendesha shughuli hiyo uhitajika.

Jinsi gani zinahatarisha afya za watu, niligundua baadhi ya mambo kama ifuatavyo

Kwanza
Wataalamu walioajiriwa ni unprofessional, hawana taaluma ya kile wanachokifanyia kazi. Hapa nitatolea mfano wakemia wanaotumika kupima na kuandaa kemikali zinazohitajika Kwa ajili ya uchenjuaji, cha kwanza kabisa katika plants zote hizo ni plant moja tu iliyokuwa na mkemia ambaye ni professional(na huyo anasema ndiye anaye wafundisha vijana) , zilizobaki ni vijana wanachukuliwa mtaani na kufundishwa jinsi ya kupima na kuandaa hizo kemikali, vijana hawa kwa sababu hawana ujuzi zaidi kuhusu hiyo taaluma wanajikuta wakifanya kazi katika mazingira magumu sana.

Vijana wanaingia maabara bila vifaa maalumu vya kujikinga na kumwagikiwa au kudondokewa na sumu hizo za kemikali, katika hali ya kustahajabisha vijana hawa ushika kemikali kwa mikono na vifaa vya kemikali bila kujali, hapa ndipo wanajikuta katika matatizo ya kiafya kwani nilishuhudia baadhi yao wakikohoa damu, kucha kuchomoka, nywele kuungua, ngozi kubabuka n.k, baada ya kuwauliza Kwa nini jibu lilikuwa ni sisi "tumeshazoea haya ndiyo maisha yetu, tunajua tutakufa". Hii ni kwa sababu maabara hazikizi viwanga na ukosefu wa maarifa kuhusu good laboratory practices na laboratory safety.

Wakati nikiwa Bukombe, sehemu moja inaitwa namba moja, kuna plant moja kijana alikuwa anachanganya conc. Sulfuric acid kwa bahati mbaya sijuhi alikosea nini, kutokana na kuvuta hewa yake kwa sababu moshi ulitanda chumba kizima, alipiga kelele na kuomba msaada, wakati anatolewa kupelekwa kituo cha afya alisema hivi "siwezi kuona", kituoni aliambiwa sumu aliyovuta hawaiwezi ikabidi apelekwe hospitali ya wilaya Bukombe, kiukweli mpaka natoka kule kijana niliacha hajaweza kuona tena.

Pili
Uchafuzi wa vyanzo vya maji vinavyozunguka plants hizo, hapa ndipo kuna hatari kubwa sana ya watu wa kanda ya ziwa kupata cancer, kwani plants hizo hazina wataalamu wenye utaalamu wowote kuhusu "chemical speciation" na "waste management", hivyo hawajuhi chochote kuhusu bioconcentration, bioaccumulation concepts , hivyo kemikali hizo baada ya kuzifanyia treatment uzitoa kwenye mantenki na kwenda kuzitupa bila utaratibu, kwahiyo kemikali hizo utiririka hadi kwenye vyanzo vya maji kama mito na visima ,hali hii inapelekea maji wanayotumia kutoka kwenye visima na samaki kutoka kwenye mabwawa na hiyo mito kuwa na kiasi kikubwa cha kemikali hizo zenye sumu.
.
Pamoja na kwamba ni uchimbaji mdogo, lakini unahitaji utaalamu na usimamizi pia, wamiliki wa plants wanapata pesa nyingi, lakini hawajali kabisa kuhusu afya za watu, NEMC pamoja na ofisi ya mkemia mkuu mkuu wa serikali (GCLA) kwa kushirikiana na wizara ya madini chini ya serikali mnao wajibu wa kusimamia hili ili kuwanusuru watu kutokana na hizo sumu za kemikali.

Najua kuna rushwa kubwa sana kule, Ila wekeni nguvu, vijana mikono, miguu inatoboka tu, huku wenye plants wakivuna pesa.
Kuna shida kuu mbili

1. Umaskini na ukosefu wa uzalendo (hasa kwa watumishi wa umma)

2. Ubutu wa TISS!

Hizo ndio zinapelekea hizo shida.
 
Kitaalam kujenga ellution plants ni gharama kama unataka ijengwe kitalaam na watalaam kwa kuzingantia precaution zote.... sasa ellution inajengwa kwa 40-50M

Controlling ya plants inahitaji gharama kwa maana ya uendeshaji, tools, materials, na wataaam...hapo lazima ununue std kila kitu na lazima uajili certified workers kila mahala wawe permanent na uwalipe vizuri..

Kuna vitu ni vigumu kuviwekea sheria na kuvicontrol maana tumeruhusu kila mtu kuvifanya matokeo yake ni madhara makubwa na maafa kwa wahusika na jamii na mmoja akinufaika kwa kuwa tajiri huwa maelfu ya nguvu ikifa au kupata ulemavu..

Lazima tukubali na tuamue ili tuwe salama na maisha yaende vizuri lazima tuchore mstari kwenye uwelezaji wa baadhi ya vitu kama bishara ya uchimbaji na uuzaji wa madini, biashara ya usafirishaji mizigo na abiria, vyombo vya baharini, uvuvi baharini na ziwani, viwanda nk...
 
Kiukweli nilibahatika kutembelea jumla ya plants za madini 9, tatu kahama Shinyanga na 6 wiliya ya Bukombe Geita. Nilichokiona na kukishuhudia kwenye plants hizo ni cha kuhuzunisha na kusitikisha Sana haswa kuhusu afya za watu walioajiriwa kwenye hizo plants na wanaoishi kuzunguka hizo plants.

Plants hizo ambazo zinajihusisha na uchenjuaji wa dhahabu kutoka kwenye mchanga au mawe ni za watu wenye kipato cha Kati na cha juu, ili kuendesha plants hizo, wataalamu mbalimbali wa kusimamia na kuendesha shughuli hiyo uhitajika.

Jinsi gani zinahatarisha afya za watu, niligundua baadhi ya mambo kama ifuatavyo

Kwanza
Wataalamu walioajiriwa ni unprofessional, hawana taaluma ya kile wanachokifanyia kazi. Hapa nitatolea mfano wakemia wanaotumika kupima na kuandaa kemikali zinazohitajika Kwa ajili ya uchenjuaji, cha kwanza kabisa katika plants zote hizo ni plant moja tu iliyokuwa na mkemia ambaye ni professional(na huyo anasema ndiye anaye wafundisha vijana) , zilizobaki ni vijana wanachukuliwa mtaani na kufundishwa jinsi ya kupima na kuandaa hizo kemikali, vijana hawa kwa sababu hawana ujuzi zaidi kuhusu hiyo taaluma wanajikuta wakifanya kazi katika mazingira magumu sana.

Vijana wanaingia maabara bila vifaa maalumu vya kujikinga na kumwagikiwa au kudondokewa na sumu hizo za kemikali, katika hali ya kustahajabisha vijana hawa ushika kemikali kwa mikono na vifaa vya kemikali bila kujali, hapa ndipo wanajikuta katika matatizo ya kiafya kwani nilishuhudia baadhi yao wakikohoa damu, kucha kuchomoka, nywele kuungua, ngozi kubabuka n.k, baada ya kuwauliza Kwa nini jibu lilikuwa ni sisi "tumeshazoea haya ndiyo maisha yetu, tunajua tutakufa". Hii ni kwa sababu maabara hazikizi viwanga na ukosefu wa maarifa kuhusu good laboratory practices na laboratory safety.

Wakati nikiwa Bukombe, sehemu moja inaitwa namba moja, kuna plant moja kijana alikuwa anachanganya conc. Sulfuric acid kwa bahati mbaya sijuhi alikosea nini, kutokana na kuvuta hewa yake kwa sababu moshi ulitanda chumba kizima, alipiga kelele na kuomba msaada, wakati anatolewa kupelekwa kituo cha afya alisema hivi "siwezi kuona", kituoni aliambiwa sumu aliyovuta hawaiwezi ikabidi apelekwe hospitali ya wilaya Bukombe, kiukweli mpaka natoka kule kijana niliacha hajaweza kuona tena.

Pili
Uchafuzi wa vyanzo vya maji vinavyozunguka plants hizo, hapa ndipo kuna hatari kubwa sana ya watu wa kanda ya ziwa kupata cancer, kwani plants hizo hazina wataalamu wenye utaalamu wowote kuhusu "chemical speciation" na "waste management", hivyo hawajuhi chochote kuhusu bioconcentration, bioaccumulation concepts , hivyo kemikali hizo baada ya kuzifanyia treatment uzitoa kwenye mantenki na kwenda kuzitupa bila utaratibu, kwahiyo kemikali hizo utiririka hadi kwenye vyanzo vya maji kama mito na visima ,hali hii inapelekea maji wanayotumia kutoka kwenye visima na samaki kutoka kwenye mabwawa na hiyo mito kuwa na kiasi kikubwa cha kemikali hizo zenye sumu.
.
Pamoja na kwamba ni uchimbaji mdogo, lakini unahitaji utaalamu na usimamizi pia, wamiliki wa plants wanapata pesa nyingi, lakini hawajali kabisa kuhusu afya za watu, NEMC pamoja na ofisi ya mkemia mkuu mkuu wa serikali (GCLA) kwa kushirikiana na wizara ya madini chini ya serikali mnao wajibu wa kusimamia hili ili kuwanusuru watu kutokana na hizo sumu za kemikali.

Najua kuna rushwa kubwa sana kule, Ila wekeni nguvu, vijana mikono, miguu inatoboka tu, huku wenye plants wakivuna pesa.
Kapicha tafadhali
 
Kitaalam kujenga ellution plants ni gharama kama unataka ijengwe kitalaam na watalaam kwa kuzingantia precaution zote.... sasa ellution inajengwa kwa 40-50M

Controlling ya plants inahitaji gharama kwa maana ya uendeshaji, tools, materials, na wataaam...hapo lazima ununue std kila kitu na lazima uajili certified workers kila mahala wawe permanent na uwalipe vizuri..

Kuna vitu ni vigumu kuviwekea sheria na kuvicontrol maana tumeruhusu kila mtu kuvifanya matokeo yake ni madhara makubwa na maafa kwa wahusika na jamii na mmoja akinufaika kwa kuwa tajiri huwa maelfu ya nguvu ikifa au kupata ulemavu..

Lazima tukubali na tuamue ili tuwe salama na maisha yaende vizuri lazima tuchore mstari kwenye uwelezaji wa baadhi ya vitu kama bishara ya uchimbaji na uuzaji wa madini, biashara ya usafirishaji mizigo na abiria, vyombo vya baharini, uvuvi baharini na ziwani, viwanda nk...
Hamna cha certification wala nini, lakini bado hatujachelewa sana kufanya mabadiliko inawezekana, kwahiyo ni Serikali tu kuhamua.
 
Hyo ni kweli na mimi nilishuhudia sehemu X sitoitaja maana nshawahi kuifanyia kazi ila nilichomoka maana niliona maluweluwe

Nakiri kuwa baada ya kumaliza chuo na njaa za mtaani niliibukia kule nkawa napata hela za maana tu ,ila mazingira ya kufa njenje ikabdi nikimbie Just Imagine chemical kama cyanide , mercury na concentrated sulphuric acid ziko exposed kizembe zembe ..

nawasilisha .

#Umeme shida
#maji shida
#vifurushi ya simu bei juu
#Tozo za simu
#Mfumuko wa bei
#Ajali kibao
#riba kubwa za mikopo benki
#Ubambikaji wa kesi kwa raia
#Rushwa
#Joto la kufa mtu
#kukosa dira/mwelekeo wa nchi

UKIFANIKIWA KUTOBOA KIMAISHA MIAKA HII ,UNAUWEZO WA KUISHI NCHI YOYOTE ILE DUNIANI

Tanzania imekuwa ngumu sana

ova
Bora ulichomoka, yaani kemikali zipo exposed sana kiasi cha kwamba hata watu hawajali tena kuhusu afya zao.
 
Ni kweli zitafungwa, lakini bhasi waonyeshe jitihada watu wanapata shida Sana. Kuhusu conc. hcl nahisi umekariri, unaweza kutumia conc sulfuric acid au hcl itategemea na limiting reagent na racimics za unachotaka kupata. Na hili uitumie conc sulfuric acid in elution inabidi isiwe ni small molecules, ikiwa ni small molecules it will not work effectively.
Ninachojua mimi ni kwamba HCL hutumika kutengeneza Aqua regia pia kuoshea carbon, haya nijuze wewe hiyo Sulphuric acid huko kwenye plants wanaitumia kuandaa nini au ina matumizi gani?
Hapo kwenye small molecules unatupiga tu, fahamu kuwa acid yeyote ile ina percentage yake,
 
Kiukweli nilibahatika kutembelea jumla ya plants za madini 9, tatu kahama Shinyanga na 6 wiliya ya Bukombe Geita. Nilichokiona na kukishuhudia kwenye plants hizo ni cha kuhuzunisha na kusitikisha Sana haswa kuhusu afya za watu walioajiriwa kwenye hizo plants na wanaoishi kuzunguka hizo plants.

Plants hizo ambazo zinajihusisha na uchenjuaji wa dhahabu kutoka kwenye mchanga au mawe ni za watu wenye kipato cha Kati na cha juu, ili kuendesha plants hizo, wataalamu mbalimbali wa kusimamia na kuendesha shughuli hiyo uhitajika.

Jinsi gani zinahatarisha afya za watu, niligundua baadhi ya mambo kama ifuatavyo

Kwanza
Wataalamu walioajiriwa ni unprofessional, hawana taaluma ya kile wanachokifanyia kazi. Hapa nitatolea mfano wakemia wanaotumika kupima na kuandaa kemikali zinazohitajika Kwa ajili ya uchenjuaji, cha kwanza kabisa katika plants zote hizo ni plant moja tu iliyokuwa na mkemia ambaye ni professional(na huyo anasema ndiye anaye wafundisha vijana) , zilizobaki ni vijana wanachukuliwa mtaani na kufundishwa jinsi ya kupima na kuandaa hizo kemikali, vijana hawa kwa sababu hawana ujuzi zaidi kuhusu hiyo taaluma wanajikuta wakifanya kazi katika mazingira magumu sana.

Vijana wanaingia maabara bila vifaa maalumu vya kujikinga na kumwagikiwa au kudondokewa na sumu hizo za kemikali, katika hali ya kustahajabisha vijana hawa ushika kemikali kwa mikono na vifaa vya kemikali bila kujali, hapa ndipo wanajikuta katika matatizo ya kiafya kwani nilishuhudia baadhi yao wakikohoa damu, kucha kuchomoka, nywele kuungua, ngozi kubabuka n.k, baada ya kuwauliza Kwa nini jibu lilikuwa ni sisi "tumeshazoea haya ndiyo maisha yetu, tunajua tutakufa". Hii ni kwa sababu maabara hazikizi viwanga na ukosefu wa maarifa kuhusu good laboratory practices na laboratory safety.

Wakati nikiwa Bukombe, sehemu moja inaitwa namba moja, kuna plant moja kijana alikuwa anachanganya conc. Sulfuric acid kwa bahati mbaya sijuhi alikosea nini, kutokana na kuvuta hewa yake kwa sababu moshi ulitanda chumba kizima, alipiga kelele na kuomba msaada, wakati anatolewa kupelekwa kituo cha afya alisema hivi "siwezi kuona", kituoni aliambiwa sumu aliyovuta hawaiwezi ikabidi apelekwe hospitali ya wilaya Bukombe, kiukweli mpaka natoka kule kijana niliacha hajaweza kuona tena.

Pili
Uchafuzi wa vyanzo vya maji vinavyozunguka plants hizo, hapa ndipo kuna hatari kubwa sana ya watu wa kanda ya ziwa kupata cancer, kwani plants hizo hazina wataalamu wenye utaalamu wowote kuhusu "chemical speciation" na "waste management", hivyo hawajuhi chochote kuhusu bioconcentration, bioaccumulation concepts , hivyo kemikali hizo baada ya kuzifanyia treatment uzitoa kwenye mantenki na kwenda kuzitupa bila utaratibu, kwahiyo kemikali hizo utiririka hadi kwenye vyanzo vya maji kama mito na visima ,hali hii inapelekea maji wanayotumia kutoka kwenye visima na samaki kutoka kwenye mabwawa na hiyo mito kuwa na kiasi kikubwa cha kemikali hizo zenye sumu.
.
Pamoja na kwamba ni uchimbaji mdogo, lakini unahitaji utaalamu na usimamizi pia, wamiliki wa plants wanapata pesa nyingi, lakini hawajali kabisa kuhusu afya za watu, NEMC pamoja na ofisi ya mkemia mkuu mkuu wa serikali (GCLA) kwa kushirikiana na wizara ya madini chini ya serikali mnao wajibu wa kusimamia hili ili kuwanusuru watu kutokana na hizo sumu za kemikali.

Najua kuna rushwa kubwa sana kule, Ila wekeni nguvu, vijana mikono, miguu inatoboka tu, huku wenye plants wakivuna pesa.
Best article, hawa jamaa ni wala rushwa wakubwa. Niliwahi kuandika kuhusu Makampuni ya Wachina, ni ujinga huo huo
 
Ninachojua mimi ni kwamba HCL hutumika kutengeneza Aqua regia pia kuoshea carbon, haya nijuze wewe hiyo Sulphuric acid huko kwenye plants wanaitumia kuandaa nini au ina matumizi gani?
Hapo kwenye small molecules unatupiga tu, fahamu kuwa acid yeyote ile ina percentage yake,
Umeona hicho tu article nzima?
 
Ninachojua mimi ni kwamba HCL hutumika kutengeneza Aqua regia pia kuoshea carbon, haya nijuze wewe hiyo Sulphuric acid huko kwenye plants wanaitumia kuandaa nini au ina matumizi gani?
Hapo kwenye small molecules unatupiga tu, fahamu kuwa acid yeyote ile ina percentage yake,
Hongera Kwa unachokifahamu sio mbaya. Hivi ninavyosema small molecules unanielewa? au ulidhani namanisha small molecules ni sulfuric acid, umeshafanya kazi maabara yeyote ya plants au unachojua ni kuosha carbon tu, any way baki na hicho hicho unacho jua haina shida wala, kingine nisingependa tupimane uelewa hapa sio lengo la uzi wangu.
 
Kiukweli nilibahatika kutembelea jumla ya plants za madini 9, tatu kahama Shinyanga na 6 wiliya ya Bukombe Geita. Nilichokiona na kukishuhudia kwenye plants hizo ni cha kuhuzunisha na kusitikisha sana haswa kuhusu afya za watu walioajiriwa kwenye hizo plants na wanaoishi kuzunguka hizo plants.

Plants hizo ambazo zinajihusisha na uchenjuaji wa dhahabu kutoka kwenye mchanga au mawe ni za watu wenye kipato cha kati na cha juu, ili kuendesha plants hizo, wataalamu mbalimbali wa kusimamia na kuendesha shughuli hiyo uhitajika.

Jinsi gani zinahatarisha afya za watu, niligundua baadhi ya mambo kama ifuatavyo

Kwanza
Wataalamu walioajiriwa ni unprofessional, hawana taaluma ya kile wanachokifanyia kazi. Hapa nitatolea mfano wakemia wanaotumika kupima na kuandaa kemikali zinazohitajika Kwa ajili ya uchenjuaji, cha kwanza kabisa katika plants zote hizo ni plant moja tu iliyokuwa na mkemia ambaye ni professional (na huyo anasema ndiye anaye wafundisha vijana), zilizobaki ni vijana wanachukuliwa mtaani na kufundishwa jinsi ya kupima na kuandaa hizo kemikali, vijana hawa kwa sababu hawana ujuzi zaidi kuhusu hiyo taaluma wanajikuta wakifanya kazi katika mazingira magumu sana.

Vijana wanaingia maabara bila vifaa maalumu vya kujikinga na kumwagikiwa au kudondokewa na sumu hizo za kemikali, katika hali ya kustahajabisha vijana hawa ushika kemikali kwa mikono na vifaa vya kemikali bila kujali, hapa ndipo wanajikuta katika matatizo ya kiafya kwani nilishuhudia baadhi yao wakikohoa damu, kucha kuchomoka, nywele kuungua, ngozi kubabuka n.k, baada ya kuwauliza Kwa nini jibu lilikuwa ni sisi "tumeshazoea haya ndiyo maisha yetu, tunajua tutakufa". Hii ni kwa sababu maabara hazikizi viwanga na ukosefu wa maarifa kuhusu good laboratory practices na laboratory safety.

Wakati nikiwa Bukombe, sehemu moja inaitwa namba moja, kuna plant moja kijana alikuwa anachanganya conc. Sulfuric acid kwa bahati mbaya sijuhi alikosea nini, kutokana na kuvuta hewa yake kwa sababu moshi ulitanda chumba kizima, alipiga kelele na kuomba msaada, wakati anatolewa kupelekwa kituo cha afya alisema hivi "siwezi kuona", kituoni aliambiwa sumu aliyovuta hawaiwezi ikabidi apelekwe hospitali ya wilaya Bukombe, kiukweli mpaka natoka kule kijana niliacha hajaweza kuona tena.

Pili
Uchafuzi wa vyanzo vya maji vinavyozunguka plants hizo, hapa ndipo kuna hatari kubwa sana ya watu wa kanda ya ziwa kupata cancer, kwani plants hizo hazina wataalamu wenye utaalamu wowote kuhusu "chemical speciation" na "waste management", hivyo hawajuhi chochote kuhusu bioconcentration, bioaccumulation concepts, hivyo kemikali hizo baada ya kuzifanyia treatment uzitoa kwenye mantenki na kwenda kuzitupa bila utaratibu, kwahiyo kemikali hizo utiririka hadi kwenye vyanzo vya maji kama mito na visima ,hali hii inapelekea maji wanayotumia kutoka kwenye visima na samaki kutoka kwenye mabwawa na hiyo mito kuwa na kiasi kikubwa cha kemikali hizo zenye sumu.

Pamoja na kwamba ni uchimbaji mdogo, lakini unahitaji utaalamu na usimamizi pia, wamiliki wa plants wanapata pesa nyingi, lakini hawajali kabisa kuhusu afya za watu, NEMC pamoja na ofisi ya mkemia mkuu mkuu wa serikali (GCLA) kwa kushirikiana na wizara ya madini chini ya serikali mnao wajibu wa kusimamia hili ili kuwanusuru watu kutokana na hizo sumu za kemikali.

Najua kuna rushwa kubwa sana kule, Ila wekeni nguvu, vijana mikono, miguu inatoboka tu, huku wenye plants wakivuna pesa.
Hakika huwa ni mazingira magumu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom