Artificial intelligence
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 1,262
- 2,191
- Thread starter
- #41
Wakemia wapo, ila wenye plants zao hukwepa kuwatumia kutokana na gharama zao kwa sababu wana uelewa mpana wa madhara ya hizo kemikali.Kaka kanda ya ziwa kuna shida sana kwenye issue za plant na elution suala la usalama na hata utunzaji wa chemical zinazotumika kuna shida kidgo japo siyo sehemu zote, kweny suala la mkemia hapa tukubaliane kwamba tanzania wakemia wa masuala ya madini wapo ila lazima tupate wakemia bora ili kupata faida nzuri tatzo ni kwamba hao pia wapo ila ni wachache sana, na ni kama serikali haijawekeza sana kwao na kwa watu wenye plant na elution hasa kwenye suala la elimu ya afya za watu, utunzaji wa mazingira na kuwa updated kila mara