INASIKITISHA: Makaburi Kinondoni yanavunjwa makusudi ili ipatikane nafasi ya kuzikia

Ila sisi binadamu tuna uchuro sana. Kwanini ujengee kaburi? Tena ikiwa ni makaburi ya public?


Kama ni makaburi ya familia sawa jengeeni ila kama unazikwa kwenye cemetery za jumuiya msiwe mnajengea. Kwasababu kiuhalisia ni kuwa ingekuwa makaburi hayafukuliwi na kuzikwa wengine hapo Kinondoni pangeshajaa miaka ya zamani sana.

Wanaojengea makaburi ni wabinafsi tu. Mtu akishakufa amaekufa mzikeni sawa ila msijengee kaburi ili na wengine wakifa wapate pakusitiriwa.

Ifikie mahali pia tuwe na tamaduni za kufanya cremation (kuchoma miili baada ya taratibu za msiba). Hii itapunguza uhitaji wa ardhi ya kuzikia watu.

Sisi wamasai zamani mtu alikuwa akifa tunampaka mafuta ya kondoo na anapelekwa vichakani huko analiwa na fisi habari yakw inakuwa imeisha.
Hii tabia sio nzuri mkuu tabia ya fisi mnaweza mkaamka asubuhi mkakuta kichwa bila kiwili wili cha ndugu yenu mlangoni sijui itakuwaje hapo.
 
mbona kama hizo picha zinaonyesha ni kuchoka kwa kutoangaliwa mda mrefu?
...Na mimi nimeona hivyo hivyo mkuu Doninie. Ni suala la ujenzi hafifu wa Kaburi kukosa utunzaji tu!
Kwamba baada tu ya ndugu kumzika ndugu yao, hawakurejea tena angalau kuchungulia tu Kanuri linaendeleaje!...
 
Solution ya huu ujinga wote kabisa ni ku-privatize huu ujinga wote.makampuni binafsi yaendeshe haya makaburi for a profit:

1)Privatize makaburi
2)Privatize stendi zote
3)Privatize machinjio yote
4)Privatize masoko yote
5)Private kila kitu


Haya mambo yaendeshwe for profit,kila mwananchi alipie vifo vyao na kila kitu.

Bila hivyo hii nchi ni pori jumlisha pori
Inawezekana kabisa, ila CCM wataogopa kupoteza kura
 
Hii inanikumbusha my beloved uncle and Aunt wamelala eneo ilo,wapumzike kwa amani adi Kristu atakapo kuja mara ya pili
 
Back
Top Bottom