KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 197
ktk hali ambayo imenitia uoga leo asubuhi kumekutwa kitoto cha miaka kama miwili kikiwa kimeuawa na inasadikika muuaji alimfanyia ubakaji kabla ajamuua kutokana na sehemu ya kike na haja kubwa kuaribika sana inatisha. eneo la buguruni mnyamani relini