1gb
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 2,129
- 2,765
Kijana Sunday Matara(28)amejiua kwa kujinyonga baada uongozi wa Jeshi la Kujenga Taifa kusitisha mafunzo kwa vijana wa kujitolea 2020/2021.
Marehemu tayari alikua amekamilisha mafunzo kwa miaka mitatu ambapo baada ya kutoka Jkt alikwenda kukaa kwa Kaka yake Pugu,Dar es salaam.
Huko ndiko alichukua maamuzi ya kukatisha uhai wake.
Mungu awatie nguvu familia yake,AMENI.
Serikali isipo ona haja/umuhimu wa kubadili mtaara basi tutarajie vijana wengi kufanya maamuzi ya kusikitisha na ya kuogofya mno kadri siku zinavyoendelea.
Elimu yetu tangu msingi ina mset kijana kusoma na kuajiriwa.
Na si kujiajiri,mwisho kwa uchache wa ajira inapelekea msongo wa mawazo na matatizo lukuki.
Na ukikuta kijana kajiajiri basi tegemea mambo mawili.
Mosi hakufaulu kuendelea na masomo.
Pili kamaliza elimu ya juu ila kasota sana kutafuta ajira bila mafanikio.
Nimefikiria huyu ni kijana wa kidato cha nne tu, je Ma graduates toka jalalani na kwingineko hali yao ikoje, too sad.
Hapa mimi sina ajira na mke wangu soon atajifungua,natarajia Mwanangu akianza masomo 2027-2040 A-Level atapita kwenye mtaala kama ule ule alopita baba yake.
Hali inasikitisha.
Heri walau A-level zote zigeuzwe technical school, angalau kijana akitoka advance akajiajiri mwenyewe.
Nawaza kwa sauti, nimesikitishwa mno.
Marehemu tayari alikua amekamilisha mafunzo kwa miaka mitatu ambapo baada ya kutoka Jkt alikwenda kukaa kwa Kaka yake Pugu,Dar es salaam.
Huko ndiko alichukua maamuzi ya kukatisha uhai wake.
Mungu awatie nguvu familia yake,AMENI.
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) lasitisha mafunzo ya kujitolea
JKT YASITISHA MAFUNZO DODOMA: JANUARI 19, 2021 JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza kusitisha kwa muda mafunzo ya jeshi hilo ya kujitolea kwa mwaka 2020/2021 mpaka hapo itakapotangaza tena. Kutokana na kusitishwa kwa Mafunzo hayo JKT imewataka vijana walioripoti makambini kurejea...
www.jamiiforums.com
Serikali isipo ona haja/umuhimu wa kubadili mtaara basi tutarajie vijana wengi kufanya maamuzi ya kusikitisha na ya kuogofya mno kadri siku zinavyoendelea.
Elimu yetu tangu msingi ina mset kijana kusoma na kuajiriwa.
Na si kujiajiri,mwisho kwa uchache wa ajira inapelekea msongo wa mawazo na matatizo lukuki.
Na ukikuta kijana kajiajiri basi tegemea mambo mawili.
Mosi hakufaulu kuendelea na masomo.
Pili kamaliza elimu ya juu ila kasota sana kutafuta ajira bila mafanikio.
Nimefikiria huyu ni kijana wa kidato cha nne tu, je Ma graduates toka jalalani na kwingineko hali yao ikoje, too sad.
Hapa mimi sina ajira na mke wangu soon atajifungua,natarajia Mwanangu akianza masomo 2027-2040 A-Level atapita kwenye mtaala kama ule ule alopita baba yake.
Hali inasikitisha.
Heri walau A-level zote zigeuzwe technical school, angalau kijana akitoka advance akajiajiri mwenyewe.
Nawaza kwa sauti, nimesikitishwa mno.