Inasikitisha: Kama Nondo na mbao (Vitu Tangible) vinachakachuliwa na TBS/TFDA wapo, Nina mashaka sana na usalama wa maji ya chupa!

Nimedili na square pipes, flat bars, black pipes, nondo za round nk kwa mda sasa. Ukinunua mfano hizo nondo kutoka kiwandani unapewa specifications ikiwemo urefu na unene wake, zipo nondo za 40ft, lakini pia zipo nondo za 37ft, 38ft. Bei zinatofautiana kwa buku hadi buku tatu. Wanaodanganya ni retailers, wauzaji wa rejareja wanadanganya kuwa nondo, flat bar au Square pipe ina urefu say 20ft kumbe ile Square pipe ina 19'5".

Kwa asilimia kubwa retailers ndio wanasema uongo, ila kiwandani unapewa specifications zote.
kwanini bidhaa pungufu inaingizwa sokoni
 
Mkuu hongera sana kwa kupandisha hili bandiko hapa, kwa umuhimu wa hili bandiko naomba lipelekwe Twitter ili mawaziri walione...
 
Kingine zile mbao wanazodai zadawa haziliwi na wadudu sio kweli zinaliwa.
 
kwanini bidhaa pungufu inaingizwa sokoni
Sio kwamba ni bidhaa pungufu, ila wanakupa kitu kulingana na uwezo wako. Sio lazima wakupe nondo ya 40', ile ya 37' pia inatumika, ila ni vizuri wakakuambia bei ya nondo ya 40' na ile ya 37', wasikudanganye.

Sasa hivi wameanza kutoa bati la 20G na 18G lenye 4'x4' coz demand yake ni kubwa, sio lazima wakupe bati kubwa la 8'x4' wakati wanaweza kulikata ukapata nusu kwa bei nusu.
 
Sio kwamba ni bidhaa pungufu, ila wanakupa kitu kulingana na uwezo wako. Sio lazima wakupe nondo ya 40', ile ya 37' pia inatumika, ila ni vizuri wakakuambia bei ya nondo ya 40' na ile ya 37', wasikudanganye.

Sasa hivi wameanza kutoa bati la 20G na 18G lenye 4'x4' coz demand yake ni kubwa, sio lazima wakupe bati kubwa la 8'x4' wakati wanaweza kulikata ukapata nusu kwa bei nusu.
kwanini kiwanda kitoe nondo au mzigo uliopungufu? kwanza unene ni mdogo na urefu haujatimia, kwanini was I recycle huko kiwandani mizigo ikawa inatoka iliyokamili?
 
Wew nae ni mkuda unapita kupima urefu wa vifaa kwenye hardware unataka kujenga nin? Ikulu au
 
Ni asilimia 100% mkuu si 95% kwa upande wa nondo.
Hatari sana😡

Toka lini vyuma chakavu vitengenezwe kuwa Nondo kutoka viwanda vya matapeli kule Kibaha utegemee kuwa na quality nzuri na kibaya zaidi jamaa wa TBS wanaidhinisha bila soni.
 
Tulianza na vya wachina na sisi wenyewe waacha tujichakachue wenyewe tu,,, hata mm akija mteja kwangu namchakachua tu
 
Hapo hujaangalia square pipe, flat bar, condult pipe na misumari ndiyo usiseme milaini inapinda kirahisi sana feki tupu
mkuu tena ikipata kutu nzi wanainyea wanajaa kama kuna kinyesi. Misumari ikiyokaa mwaka mmoja ukiitoa ukaiweka hapo inanuka. Yaani maajabu sana
 
mkuu tena ikipata kutu nzi wanainyea wanajaa kama kuna kinyesi. Misumari ikiyokaa mwaka mmoja ukiitoa ukaiweka hapo inanuka. Yaani maajabu sana
Aisee chuma kinanuka? hii inaaply wapi Mkuu au ulichanganya na kitu kinachonuka
 
kwahiyo watanzania wote wakapange foleni kiwandani maduka yafungwe? unazani hizo bodhaa feki hazitoki viwanda hivyohovyo?
Nini maana ya REJECT kupatikana zikiwa dukani?
Viwanda wanazalisha bomba zao, then zinapita maabara zinakidhi viwango zinapigwa lebo na kupelekwa sokoni zile reject zinatupwa sasa baadhi ya wauza maduka wachache wanachukua reject na kupeleka dukani!!

Sasa chagua, ukanunue kwa authorized dealer au utaenda mtaani kisa bei chee!! chaguo ni lako!!
 
Viwanda wanazalisha bomba zao, then zinapita maabara zinakidhi viwango zinapigwa lebo na kupelekwa sokoni zile reject zinatupwa sasa baadhi ya wauza maduka wachache wanachukua reject na kupeleka dukani!!

Sasa chagua, ukanunue kwa authorized dealer au utaenda mtaani kisa bei chee!! chaguo ni lako!!
Hiyo dealer yupo nchi tofauti na hardware hizi nilizoona?
 
Habari ndugu zangu!

Nimefanya ziara/survey katika hardware mbalimbali jijini Dar es salaam kwa ajili ya maandalizi ya material ya ujenzi naotarajia kuufanya hivi karibuni!
Nilichogundua asilimia 95% bidhaa za nondo na mbao hazina urefu unaotakiwa!
nilikuwa na tape measure pamoja na Vernier caliper nikaamua kutumia akili yangu ndogo niliyopata enzi za secondary!
Kwa mujibu Wa TBS na standard ya nondo kimataifa zimewekwa kwa unene tofauti tofauti kulingana na uhitaji Zikitakiwa kuwa na Futi 40 ( zipo 4mm,6mm,....8mm,10mm,12mm,16mm......nakuendelea)

Lakini cha ajabu nilichogundua kutoka kwenye hardware karibu zote wana nondo zilizochakachuliwa zenye urefu Wa Futi 37 yaani futi tatu zimeibiwa kwenye kila nondo.
  • kwa maana hiyo kama nondo moja inaibiwa futi 3 ina maana ukinunua nondo 13 unakuwa umeibiwa nondo moja nzima kwahiyo utakuwa sawa na nondo 12 TU
  • Nikaamua kwenda kwenye mbao nazo nI yaleyale; mbao zinazouzwa kuwa ni futi 10 nazo zimechakachuliwa Futi moja haipo, nyingi zina futi tisa tisa tu;
  • nikaamua kuangalia unene Wa nondo; kwa mjibu wa vernier caliper yangu nondo za 16mm baadhi hazikutimia zilikuwa pungufu.
  • Flat bar na square pipe zote ziko pungufu!
  • misumari nayo ni milaini yaani inapinda kirahisi sana.
  • Ebu fikilia siku hizi hadi bajaji au vile vigari viyoriyori/kirikuu vinabeba nondo can you imagine urefu wa futi 40, ikikunjwa futi 20 ikabebwe kwenye chombo kama bajaji yenye futi 5? Obviously nondo zimekuwa fupi thus wanabeba!
Nimetafakari sana kama Mimi mwananchi Wa kawaida nisiye na utaalamu nimeyaona haya wazi; Hawa TBS na TFDA wanafanya nini hadi bidhaa inatoka kiwandani hadi kufika madukani?
  • Kama TBS wana kitengo cha Inspection viwandani, Je hizo nondo zilizochakachuliwa wao wanashindwaje kuziona ?
  • Kama bidhaa feki hizi zimetapakaa namna hii kuna umhimu gani wafanyakazi wa TBS kulipwa mshahara wakati hawaoni?
Kutokana na hili la Nondo na mbao zinazoonekana kwa macho ya nyama na mikono kushindwa kung'amuliwa na mamlaka tunazozitegemea,

Basi napata mashaka makubwa sana kama mamlaka hizi kama zinasimamia vyema hata ubora Wa maji ya kunywa tunayouziwa kwenye chupa toka kampuni mbalimbali!

  • Bahati mbaya haya yanatokea Wakurugenzi wapo!
  • Bahati mbaya haya yanatokea waziri yupo.
  • Bahati mbaya haya yanatokea viwanda vipo hapahapa nchini lakini havikaguliwi
  • Bahati mbaya haya yanatokea maduka na hardware zote zipo tena mbao na nondo huwa ziko nje lakini hazikaguliwi.
Kama bidhaa zetu zinachakachuliwa, Tusishangae Wageni na wachina wakijenga bongo kwa kuagiza bidhaa toka nchini kwao!
View attachment 1152776

****karibuni****
TBS
Habari ndugu zangu!

Nimefanya ziara/survey katika hardware mbalimbali jijini Dar es salaam kwa ajili ya maandalizi ya material ya ujenzi naotarajia kuufanya hivi karibuni!
Nilichogundua asilimia 95% bidhaa za nondo na mbao hazina urefu unaotakiwa!
nilikuwa na tape measure pamoja na Vernier caliper nikaamua kutumia akili yangu ndogo niliyopata enzi za secondary!
Kwa mujibu Wa TBS na standard ya nondo kimataifa zimewekwa kwa unene tofauti tofauti kulingana na uhitaji Zikitakiwa kuwa na Futi 40 ( zipo 4mm,6mm,....8mm,10mm,12mm,16mm......nakuendelea)

Lakini cha ajabu nilichogundua kutoka kwenye hardware karibu zote wana nondo zilizochakachuliwa zenye urefu Wa Futi 37 yaani futi tatu zimeibiwa kwenye kila nondo.
  • kwa maana hiyo kama nondo moja inaibiwa futi 3 ina maana ukinunua nondo 13 unakuwa umeibiwa nondo moja nzima kwahiyo utakuwa sawa na nondo 12 TU
  • Nikaamua kwenda kwenye mbao nazo nI yaleyale; mbao zinazouzwa kuwa ni futi 10 nazo zimechakachuliwa Futi moja haipo, nyingi zina futi tisa tisa tu;
  • nikaamua kuangalia unene Wa nondo; kwa mjibu wa vernier caliper yangu nondo za 16mm baadhi hazikutimia zilikuwa pungufu.
  • Flat bar na square pipe zote ziko pungufu!
  • misumari nayo ni milaini yaani inapinda kirahisi sana.
  • Ebu fikilia siku hizi hadi bajaji au vile vigari viyoriyori/kirikuu vinabeba nondo can you imagine urefu wa futi 40, ikikunjwa futi 20 ikabebwe kwenye chombo kama bajaji yenye futi 5? Obviously nondo zimekuwa fupi thus wanabeba!
Nimetafakari sana kama Mimi mwananchi Wa kawaida nisiye na utaalamu nimeyaona haya wazi; Hawa TBS na TFDA wanafanya nini hadi bidhaa inatoka kiwandani hadi kufika madukani?
  • Kama TBS wana kitengo cha Inspection viwandani, Je hizo nondo zilizochakachuliwa wao wanashindwaje kuziona ?
  • Kama bidhaa feki hizi zimetapakaa namna hii kuna umhimu gani wafanyakazi wa TBS kulipwa mshahara wakati hawaoni?
Kutokana na hili la Nondo na mbao zinazoonekana kwa macho ya nyama na mikono kushindwa kung'amuliwa na mamlaka tunazozitegemea,

Basi napata mashaka makubwa sana kama mamlaka hizi kama zinasimamia vyema hata ubora Wa maji ya kunywa tunayouziwa kwenye chupa toka kampuni mbalimbali!

  • Bahati mbaya haya yanatokea Wakurugenzi wapo!
  • Bahati mbaya haya yanatokea waziri yupo.
  • Bahati mbaya haya yanatokea viwanda vipo hapahapa nchini lakini havikaguliwi
  • Bahati mbaya haya yanatokea maduka na hardware zote zipo tena mbao na nondo huwa ziko nje lakini hazikaguliwi.
Kama bidhaa zetu zinachakachuliwa, Tusishangae Wageni na wachina wakijenga bongo kwa kuagiza bidhaa toka nchini kwao!
View attachment 1152776

****karibuni****
TBS ni bomu. Udhibiti wao wa bidhaa hauna kiwango hata cha kijiji. Hizo nondo zinavunjika(they are very brittle), matokeo ya kuchanganya vyuma mbali mbali. Usalama wa majengo u hatarini. Unene na urefu wa mbao, nondo, misumari, mabati ni under size. Mabati yana andikwa one gauge under. 32g inaandikwa 30g. Madudu ni mengi. Wanakula na viwanda, si bure. Kifupi ni uhujumi.
 
Viwanda wanazalisha bomba zao, then zinapita maabara zinakidhi viwango zinapigwa lebo na kupelekwa sokoni zile reject zinatupwa sasa baadhi ya wauza maduka wachache wanachukua reject na kupeleka dukani!!

Sasa chagua, ukanunue kwa authorized dealer au utaenda mtaani kisa bei chee!! chaguo ni lako!!
wewe ni mwongo, maelezo yako haya akisi aina yoyote ya mfumo wa uzalishaji kiwandani, na usambazaji. Unatetea usichokijua.
 
TBS

TBS ni bomu. Udhibiti wao wa bidhaa hauna kiwango hata cha kijiji. Hizo nondo zinavunjika(they are very brittle), matokeo ya kuchanganya vyuma mbali mbali. Usalama wa majengo u hatarini. Unene na urefu wa mbao, nondo, misumari, mabati ni under size. Mabati yana andikwa one gauge under. 32g inaandikwa 30g. Madudu ni mengi. Wanakula na viwanda, si bure. Kifupi ni uhujumi.
kaah
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom