Oti Kate
Member
- Dec 20, 2011
- 58
- 59
Wana jf wenzangu,
kwa kweli inasikitisha sana kuona mtu anaipenda CCM kwa moyo wake wote..........! Hivi mtu kama huyu tumfanyeje jamani, unajua anatia hasira sana.............maisha magumu, mambo hayaendi, viongozi wakiwemo wabunge wao wanatukana wapiga kura wao................sijui nisemaje mnielewe, lakini hapana CCM tuiweke pembeni.
Kama Zambia waliweza..................Senegal waliweza, kwa nn sisi Watanzania Tushindwe?
Lets decide guys!
kwa kweli inasikitisha sana kuona mtu anaipenda CCM kwa moyo wake wote..........! Hivi mtu kama huyu tumfanyeje jamani, unajua anatia hasira sana.............maisha magumu, mambo hayaendi, viongozi wakiwemo wabunge wao wanatukana wapiga kura wao................sijui nisemaje mnielewe, lakini hapana CCM tuiweke pembeni.
Kama Zambia waliweza..................Senegal waliweza, kwa nn sisi Watanzania Tushindwe?
Lets decide guys!