Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,702
Ni ujumbe mbaya unaosambaa kati ya vijana wanaojiita mabaharia.. Wanaohamasishana kuwatendea maovu mabinti waliowasaidia kimaisha.... Na hili linachagizwa zaidi na haya mauaji ya mabinti wanaokuwa wawazi kwa wapenzi wao ambao hawawapendi tena....
Wanajitapa kuwa dawa yao imepatikana bado wale wale wa TUMA NAULI NIJE.. halafu wakishatumiwa wanaingia mitini... Hawatokei....
Pamoja na pesa kuwa ngumu na maisha kuwa na changamoto nyingi ni lazima kila upande kuwa na tafakuri...
Mabinti msile vya wanaume kama hamuwapendi... Na wanaume epukeni maamuzi yanayoongozwa na jazba....
Wote nyie kwa kujifanya wajuaji na watemi mnaishia kugawana majengo ya serikali... Mmoja akienda mochwari (ofisini kwangu) mwingine mahabusu
Wanajitapa kuwa dawa yao imepatikana bado wale wale wa TUMA NAULI NIJE.. halafu wakishatumiwa wanaingia mitini... Hawatokei....
Pamoja na pesa kuwa ngumu na maisha kuwa na changamoto nyingi ni lazima kila upande kuwa na tafakuri...
Mabinti msile vya wanaume kama hamuwapendi... Na wanaume epukeni maamuzi yanayoongozwa na jazba....
Wote nyie kwa kujifanya wajuaji na watemi mnaishia kugawana majengo ya serikali... Mmoja akienda mochwari (ofisini kwangu) mwingine mahabusu