FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 35,847
- 40,436
Imebainika moja ya mazao makubwa yanayokuwa exported toka Tanzania kwenda India ni ngono, hii ni baada ya soko letu la bilioni 500 la mbaazi huko India kuyeyuka.
Je, tupo sahihi kuexport bidhaa hii? Video hapo chini ina maelezo ya ziada na ya kina.
Ila pia sijafurahia hii tabia ya mabeberu kupenda kutangaza mabaya tu ya nchi yetu, yaani wao hawaoni jema kabisa.
Anyway, tuangalie video.
Je, tupo sahihi kuexport bidhaa hii? Video hapo chini ina maelezo ya ziada na ya kina.
Ila pia sijafurahia hii tabia ya mabeberu kupenda kutangaza mabaya tu ya nchi yetu, yaani wao hawaoni jema kabisa.
Anyway, tuangalie video.