johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,868
Kiukweli katika swala hili Musiba wa Tanzanite ana hoja.
Binafsi niliwashambulia sana Chadema kuhusu ile Nissan Patrol iliyotajwa na CAG kuwa wamekopeshana.
Kadhalika nilimwomba ndugu Polepole naye atufafanulie juu ya nyumba 196 za CCM zilizoandikishwa kwa majina ya watu binafsi.
Inashangaza leo bavicha wanamtetea Makamba dhidi ya Musiba wakati kile kilichoandikwa katika gazeti la Tanzanite ni nukuu ya ripoti ya CAG ambaye Chadema wanamuona ni kama mtume.
Maendeleo hayana vyama!
Binafsi niliwashambulia sana Chadema kuhusu ile Nissan Patrol iliyotajwa na CAG kuwa wamekopeshana.
Kadhalika nilimwomba ndugu Polepole naye atufafanulie juu ya nyumba 196 za CCM zilizoandikishwa kwa majina ya watu binafsi.
Inashangaza leo bavicha wanamtetea Makamba dhidi ya Musiba wakati kile kilichoandikwa katika gazeti la Tanzanite ni nukuu ya ripoti ya CAG ambaye Chadema wanamuona ni kama mtume.
Maendeleo hayana vyama!