Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,312
- 8,213
Mkuu ni kipi ambacho hujaelewa hapo, mbona taarifa ipo wazi Sana.Najaribu kukusoma mahala sikuelewi, unasema mwezi Juni 2021 tuliambiwa tuna akiba ya dola 4765, then mwezi Dec 2021 tukaambiwa tena tuna akiba ya dola 6253, unapouliza mbona taarifa ya mwezi Juni 2021 hatukupewa unakuwa na maana gani?