Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 9,877
- 19,769
Genius!Ndio maana Magufuli mara nyingi alikuwa haandikiwi hotuba na alikuwa anakesha na mafaili mwenyewe
Genius!Ndio maana Magufuli mara nyingi alikuwa haandikiwi hotuba na alikuwa anakesha na mafaili mwenyewe
Magu amekufa mkuu, na ameshazikwa, na ameshaoza. Nothing less nothing more. Iwe utililie shaka au usitie, Samia ndiyo Rais wako hadi 2030 kama atapewa uhai.Achana hata na hilo. Anashindwa vipi kushtukia na kutambua nchi ina hazina kiasi gani, exactly? Maana sisi raia tumemwajiri Rais ili a-deliver matokeo yenye viwango visivyoweza kutiliwa mashaka. Hivi angekuwa CEO au mkurugenzi mahali fulani, asingetumbuliwa jana yake, kabla hata hajafanya kosa?
Ikulu ni mzigo - JK NYERERENdugu zangu haya mambo yanashangaza sana.Katika kipande cha video hapo chini Rais Samia Suluhu Hasan akiwa Mwanza mwezi juni 2021 alidai kuwa akiba yetu ya fedha za kigeni ni dola za kimarekani bilioni 4765.
Ndugu zangu Mwezi Juni 2021 tuliambiwa tuna akiba ya fedha za kigeni dola bilioni 4765. Mwezi Disemba ikapanda na tukaambiwa akiba yetu imefika Dola za kimarekani bilioni 6253. Mwezi Juni 2021 mbona taarifa ya ufafanuzi kuwa Serikali imekosea haikutoka?
Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa haya mambo yanapangwa kimkakati na kwa makusudi kwani siyo rahisi Rais akosee mara mbili.
Huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.Ni vyema tukajua ukweli uko wapi kwani hii nchi ni yetu sote.
Kwa mtu mwenye akili zake ukiunganisha doti ya hizi hotuba mbili ni lazima upate harufu ya kitu ambacho siyo kizuri.
Kitendo cha Rais kukosea mara mbili kinaibua tena maswali kadha ambayo ndani yake yanatupa taarifa kuwa huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.
1.Inawezekana Rais amekosea mara mbili?
2.Mbona mwezi juni 2021 hatukupata ufafanuzi kuwa Serikali imekosea?
3.Kama Rais anakosea kirahisi hivi,ni mangapi anakosea?
View attachment 2066406
Ina maana na mikataba inayosainiwa yeye anakua hajui?The President is not part of GNT, presidency maybe.
Vyote kwa pamojaKati ya kutojua na kukosea wewe unaamini kipi ni sahihi?
Halafu ndio anapigiwa ngonjera aongoze mpaka 2035,mpaka muda huo wenye mikopo yao watakuwa wameshachukua chao.Kwangu mimi namuona Samia ni mtu ambae hana uwezo wa kuchanganua mambo! Ye yupoyupo kila kitu anataka aletewe mezan
Wapi nimesema hajui?Ina maana na mikataba inayosainiwa yeye anakua hajui?
Hivi mtoa Thread sijamuelewa, kwani tatizo hapo liko wapi? Ni namba ndio zinamchanganya au ni nini?Najaribu kukusoma mahala sikuelewi, unasema mwezi Juni 2021 tuliambiwa tuna akiba ya dola 4765, then mwezi Dec 2021 tukaambiwa tena tuna akiba ya dola 6253, unapouliza mbona taarifa ya mwezi Juni 2021 hatukupewa unakuwa na maana gani?
Hivi mtoa Thread sijamuelewa, kwani tatizo hapo liko wapi? Ni namba ndio zinamchanganya au ni nini?
Najaribu kuichambua hotuba/taarifa ya mama kama ifuatavyo:
Sasa kosa liko wapi kwa sababu akiba imeongezeka toka dola bilioni 4765 mpaka dola bilioni 6253 au ongezeko/tofauti ni dola bilioni 1488. Tupo pamoja jamani! Nisahihisheni nilipokosea.
- Mwezi wa sita 2021, taarifa ya mama inasema akiba ya pesa za kigeni ni dola bilioni 4765
- Mwezi disemba (yaani baada ya miezi sita hivi) akiba ya pesa za kigeni ni dola bilioni 6253
Hizo namba unaona zipo sahihi? Hizo ni pesa nyingi sana hata Marekani hawana, na hapo ndipo mjadala ulianzia.Hivi mtoa Thread sijamuelewa, kwani tatizo hapo liko wapi? Ni namba ndio zinamchanganya au ni nini?
Najaribu kuichambua hotuba/taarifa ya mama kama ifuatavyo:
Sasa kosa liko wapi kwa sababu akiba imeongezeka toka dola bilioni 4765 mpaka dola bilioni 6253 au ongezeko/tofauti ni dola bilioni 1488. Tupo pamoja jamani! Nisahihisheni nilipokosea.
- Mwezi wa sita 2021, taarifa ya mama inasema akiba ya pesa za kigeni ni dola bilioni 4765
- Mwezi disemba (yaani baada ya miezi sita hivi) akiba ya pesa za kigeni ni dola bilioni 6253
Yes, Rais amekosea then what? Kuna kifungu chochote cha Katiba kilichovunjwa kwa Rais kukosea? Rais JPM alikosea na kusema Saddam Hussein Rais wa Kuwait, ilimfanya kukiuka Katiba? Let's deal with tangible issues, at least zile zenye makosa ya kikatiba au kisheria wajamen.
Prezidaa, au?Kuna mtu anapoteza kazi
Ni kama yule Msaudhafrika aliyejiuzulu: Nkozasana Dlamini Zuma (Jacob Zuma). Namba kwake zilikuwa zinamfanya hadi azungushe kichwa kuzitamka.Point ipo
Raisi anashindwa vipi kutofautisha million na billion?
Si ajabu ndiyo maana katika serikali hii wawekezaji wanatupenda sana kama Taifa. It's rightly said, ^Adui yako akikupigia makofi kukushangilia, jiulize wapi unaksoea.^Ikiwa mambo madogo Kama haya ya kusoma tu anakosea, vipi kuhusu mikataba?
Makosa ya Bi Mkubwa ni indelible, unsafishikable & unfutikable!Waandishi ndiyo wakulaumu hapa. Ni makoosa makubwa sana kuandika $4765 million badala ya kuandika $4.765 B au kwa ufupi $4.8B waandishi wa Tanzania wana complicates sana !