Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,832
Taarifa zisizo rasmi zinasema JK alikuja Mza kujalibu ku'rescue' situation, na moja ya mbinu mbovu iliyotumiwa baada ya zote kugonga mwamba ilikuwa akubali kupokea kiasi hicho ili JK atimize azma yake ya kumapisha Masha kwa mara nyingine tena kama alivyoahidi kwenye ufunguzi wa campaign!
Bwana mdogo Wenje aliwajibu kuwa waende kuwapa kiasi hicho wananchi waliokuwa na hasira nje ya fensi, wakikubali, basi yeye angeachia jimbo hilo. Wakati huohuo, wapiga kura walikuwa wameahidi kuwa endapo Wenje angekubali hongo basi angekuwa nyama yao na kwa kuanzia wangeimaliza familia yake!
Na baada ya tafrani kuanza, mpango ulikuwa kuteketeza jiji la Mza kwa kulipua vituo vya mafuta vilivyopo jijini kitu kilichowafanya jeshi la polisi kushinikiza kutangazwa kwa matokeo!
Can u imagine, how far can ccm go to ensure it remain in power! ccm is :evil::evil::evil::evil:
Bwana mdogo Wenje aliwajibu kuwa waende kuwapa kiasi hicho wananchi waliokuwa na hasira nje ya fensi, wakikubali, basi yeye angeachia jimbo hilo. Wakati huohuo, wapiga kura walikuwa wameahidi kuwa endapo Wenje angekubali hongo basi angekuwa nyama yao na kwa kuanzia wangeimaliza familia yake!
Na baada ya tafrani kuanza, mpango ulikuwa kuteketeza jiji la Mza kwa kulipua vituo vya mafuta vilivyopo jijini kitu kilichowafanya jeshi la polisi kushinikiza kutangazwa kwa matokeo!
Can u imagine, how far can ccm go to ensure it remain in power! ccm is :evil::evil::evil::evil: