mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,282
- 44,821
Yaani kirahisi rahisi hivyo mnamuuwa waziri.
Mmh walidhamiria hao
Ina maana magari yake hawayajui mpaka wamuue?!na kabla ya yote kama walihisi ni magaidi kwanini wasimuamrishe kushuka kwenye gari kabla ya kumfyatulia risasi?!
Walipanga kumuua
huyo dogo kaishi muda mrefu nje ya somalia tokea utotoni alikuwa akiishi kwenye kambi ya wakimbizi kenya ndo maana ana mwili kidogo..
wale al-shabaab wa ndani somalia ni kula mirungi full time, chakula hawali vizuri ndo maana ni wembambaaa kama fito..
Ila msomali kwa kweli si mtu... we waonage tu hivi huku mjini lakini ukutane nao porini hata awe mwembamba vipi kama mkononi kashikilia SMG au AK lazima utaharisha tu...
Ilikuwa gari binafsi chief!!! Ama hapa bongo tunazitambua gari za akina Mwakyembe & Co.
Yaan wanashindwa kutofautisha gari la serikali au wenzetu kila mmoja na gar yake!!!??Waziri wa Ujenzi wa Somalia ameuawa jioni hii kwenye lango la Ikulu na walinzi wa Rais wa Somalia kimakosa baada ya kudhania gari aliyekuwa amepanda Waziri huyo lilikuwa la magaidi wa Alshabaab.
Waziri Abdullah Abas alikuwa Waziri mwenye umri mdogo kabisa, umri wake ulikuwa miaka 31
Hata kama ni Private!!ina maana ikulu kuna geti moja tu?huyu waziri alishapita geti la kwanza wakamkagua na akapita kuingia Ikulu kabisa,hawana hata Redio Call ya mawasaliano wakawauliza askari wa nje ya geti?!kama walikuwa na wasiwasi si wangemwamuru ashuke kwenye gari na ajisalimishe?!askari gani anakuwa mzembe kiasi hicho?!tena usalama waTaifa?!Ilikuwa gari binafsi chief!!! Ama hapa bongo tunazitambua gari za akina Mwakyembe & Co.