Inasemekana Wambura Kugombea uenyekiti Yanga

Status
Not open for further replies.

Jospina

JF-Expert Member
Apr 19, 2013
2,421
1,387
[FONT=Helvetica, Arial, lucida grande, tahoma, verdana, arial, sans-serif]kuna tetesi zimeenea kwenye blogs mbalimbali kuwa bwana Wambura [/FONT]Baada ya kuenguliwa kutogombea nafasi ya Urais katika uchaguzi ujao wa klabu ya Simba, Wambura amefunguka na kusema nitagombea uenyekiti katika klabu ya Yanga. Wambura aliendelea kusema kuwa hakuna ubaya wowote kugombea Yanga. Kama wao Simba wameona sifai basi nitakuwa tayari kuwatumikia yanga. Alipoulizwa kuwa je haoni kuwa itakuwa vigumu kwenda kugombea upande wa pili wa mahasimu wa timu yake alisema hapana. Alisema soka limebadilika sana siku hizi. Akitolea mfano wa Martin Kenyon, Wambura alisema mbona aliweza kuondoka Manchester United na kwenda kuwa Mtendaji Mkuu Chelsea. Pia Wambura alizidi kutiririka kwa kusema kuwa kama wachezaji wanaweza kutoka Simba kwenda Yanga au Yanga kwenda Simba kwa nini kwake yeye isiwezekane?
Juhudi zangu za kumpata Wambura kuthibitisha madai haya zimegonga mwamba
 
Hakuna kitu kama hicho...

Simba baada ya uchaguzi huu itakuwa ni iliyo vurugika kuliko wakati wowote wa maisha yake. Busara ingetumika, Kiongozi huyu angepitishwa ili akashindanishwe na wenzake katika Sanduku la Kura...

Wambura ana kundi kubwa nyuma yake...si vyema wakampuuza na kumuengua hivi hivi tu...
 
Hakuna kitu kama hicho...

Simba baada ya uchaguzi huu itakuwa ni iliyo vurugika kuliko wakati wowote wa maisha yake. Busara ingetumika, Kiongozi huyu angepitishwa ili akashindanishwe na wenzake katika Sanduku la Kura...

Wambura ana kundi kubwa nyuma yake...si vyema wakampuuza na kumuengua hivi hivi tu...

Bora wangemfanyia Fitna kwenye boksi la kura...
 
Tatizo lako muhaya wewe ni fikra finyu kuhisi kila msomaji wa jf ana uelewa mdogo kama wakwako. Kashaga lini tz hii kiongozi atoke simba aende yanga au vise versa? We mgonjwa
 
kuna tetesi zimeenea kwenye blogs mbalimbali kuwa bwana Wambura Baada ya kuenguliwa kutogombea nafasi ya Urais katika uchaguzi ujao wa klabu ya Simba, Wambura amefunguka na kusema nitagombea uenyekiti katika klabu ya Yanga. Wambura aliendelea kusema kuwa hakuna ubaya wowote kugombea Yanga. Kama wao Simba wameona sifai basi nitakuwa tayari kuwatumikia yanga. Alipoulizwa kuwa je haoni kuwa itakuwa vigumu kwenda kugombea upande wa pili wa mahasimu wa timu yake alisema hapana. Alisema soka limebadilika sana siku hizi. Akitolea mfano wa Martin Kenyon, Wambura alisema mbona aliweza kuondoka Manchester United na kwenda kuwa Mtendaji Mkuu Chelsea. Pia Wambura alizidi kutiririka kwa kusema kuwa kama wachezaji wanaweza kutoka Simba kwenda Yanga au Yanga kwenda Simba kwa nini kwake yeye isiwezekane?
Juhudi zangu za kumpata Wambura kuthibitisha madai haya zimegonga mwamba

Hivi ili mtu u - qualify kugombea nafasi za uongozi katiba vilabu hivyo {Simba/Yanga} si inabidi uwe mwanachama? Kwahiyo unataka kuniambia Wambura ni mwanachama wa Yanga? Kuhusu Martin Kenyon {Anaitwa Peter sio Martin} hiyo ni habari nyingine, Kenyon alikuwa ni mwajiriwa wa man utd (mfanyakazi anaweza kuhama kutoka kampuni moja kwenda kufanya kazi kampuni nyingine) Hii habari ni story za kufurahisha baraza
 
Huyu jamaa anatisha chaguzi zote wanajitahidi asifike kwenye sanduku la kura maaana inaonekana akifika hakuna cha kumzuia .
 
Mtoa post acha chuki binafsi unataka kuwafanya wanaJF wana upeo mdogo? Unatunga story ili jamaa aonekane hajitambui
 
Kwa kawaida hasi na chanya zikiungana panatokea shoti........sasa hii ya wambura na yanga, nadhani patatokea mlipuko.
 
Kwa kawaida hasi na chanya zikiungana panatokea shoti......sasa hii ya wambura na yanga nadhani patatokea mlipuko
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom