Confirmed
na hii ndio hali halisi.
wakuu mimi nilihitimisha ktk thread yangu na kurudia msimamo huo ktk thread hii na ile breaking news, ukweli ni kwamba ccm na hasa wananchi wa mtimbira wamemuangusha prof. Mlambiti, mimi ni mwana ccm na ninakiri kuwa mtimbira walijiandaa hata kuua mtu aili mradi mbunge anatoka pale, niliwapinga sana njayagha na ngonyani simon kuwa wasiingie ktk kinyang'anyiro hiki 2010 na wamuache mzee wao amalizie msimu wa mwisho na ninawahakikishia kuwa prof. Mlambiti baada ya kushindwa na dkt. Ngasongwa kwa misimu mitatu 2005 alitamka hadharani kuwa sasa yeye na ngasongwa basi. Hii ilinifanya niamini kuwa prof. Mlambiti alikuwa na agenda binafsi na ngasongwa, sasa kilichotokea baada ya hawa jamaa ngonyani na njayagha kumharibia ngasongwa ktk ngome yake kule malinyi na ngoheranga binafsi nilijua wakiingia tarafa ya mtimbira hakuna wa kutoka na ikawa hivyo, mgawanyiko ulitokea lupiro lakini walikuwa washachelewa hatimaye hadji mponda akawashinda wote na kufuatiwa na njayagha na ngasongwa nafasi ya tatu.
baada ya matokeo hayao moyoni niliamini kuwa yamekwisha ghafla akajitokeza tena prof. Mlambiti kwa tiketi ya chadema, nilijiuliza sana kwanini hawa waliokuwa na hamu ya jimbo hili tangu 1995 na uhuru iweje wapingane??!! Ndipo nilipobaini na kutambua uhalisia wa prof.mlambiti kuwa kwake tatizo ni ccm na siye individuals, which is better for democracy.
nikajiuliza ikiwa 1995-2005 opposition ngome yake ni mtimbira kwangu tatizo likawa ni malinyi, sasa ghafla malinyi ikajivika hadhi ya upinzani na kumkarimu prof.mlambiti, mlambiti ameongoza ktk tarafa za malinyi na ngoheranga, mtimbira ameongoza mponda na kule lupiro taarifa ni kuwa prof aliongoza, figures ni hizi : Hadji mponda 18627- prof.mlambiti 15814 tofauti ni kura 2813 alizozipata mtimbira.
kuna taarifa kuwa kura za mtimbira zilijaa mizengwe na udanganyifu, professa mlambiti ameangushwa na ndugu zake kwa njaa zao. Maana kuna ushahidi wa wazi kwa wapiga kura kugawiwa shs elfu 10-20 toka mgombea wa ccm, hali hii imeonekana malinyi na mtimbira, kibaya zaidi mawakala wa chadema mtimbira ndio walionunuliwa na kumuuza mgombea wa chadema.
yamepita haya na tugange yajayo wana ulanga magharibi.
SIO KWELi :nono::nono::nono::nono:
SIO KWELi :nono::nono::nono::nono:
SIO KWELi :nono::nono::nono::nono:
Confirmed
na hii ndio hali halisi.
wakuu mimi nilihitimisha ktk thread yangu na kurudia msimamo huo ktk thread hii na ile breaking news, ukweli ni kwamba ccm na hasa wananchi wa mtimbira wamemuangusha prof. Mlambiti, mimi ni mwana ccm na ninakiri kuwa mtimbira walijiandaa hata kuua mtu aili mradi mbunge anatoka pale, niliwapinga sana njayagha na ngonyani simon kuwa wasiingie ktk kinyang'anyiro hiki 2010 na wamuache mzee wao amalizie msimu wa mwisho na ninawahakikishia kuwa prof. Mlambiti baada ya kushindwa na dkt. Ngasongwa kwa misimu mitatu 2005 alitamka hadharani kuwa sasa yeye na ngasongwa basi. Hii ilinifanya niamini kuwa prof. Mlambiti alikuwa na agenda binafsi na ngasongwa, sasa kilichotokea baada ya hawa jamaa ngonyani na njayagha kumharibia ngasongwa ktk ngome yake kule malinyi na ngoheranga binafsi nilijua wakiingia tarafa ya mtimbira hakuna wa kutoka na ikawa hivyo, mgawanyiko ulitokea lupiro lakini walikuwa washachelewa hatimaye hadji mponda akawashinda wote na kufuatiwa na njayagha na ngasongwa nafasi ya tatu.
baada ya matokeo hayao moyoni niliamini kuwa yamekwisha ghafla akajitokeza tena prof. Mlambiti kwa tiketi ya chadema, nilijiuliza sana kwanini hawa waliokuwa na hamu ya jimbo hili tangu 1995 na uhuru iweje wapingane??!! Ndipo nilipobaini na kutambua uhalisia wa prof.mlambiti kuwa kwake tatizo ni ccm na siye individuals, which is better for democracy.
nikajiuliza ikiwa 1995-2005 opposition ngome yake ni mtimbira kwangu tatizo likawa ni malinyi, sasa ghafla malinyi ikajivika hadhi ya upinzani na kumkarimu prof.mlambiti, mlambiti ameongoza ktk tarafa za malinyi na ngoheranga, mtimbira ameongoza mponda na kule lupiro taarifa ni kuwa prof aliongoza, figures ni hizi : Hadji mponda 18627- prof.mlambiti 15814 tofauti ni kura 2813 alizozipata mtimbira.
kuna taarifa kuwa kura za mtimbira zilijaa mizengwe na udanganyifu, professa mlambiti ameangushwa na ndugu zake kwa njaa zao. Maana kuna ushahidi wa wazi kwa wapiga kura kugawiwa shs elfu 10-20 toka mgombea wa ccm, hali hii imeonekana malinyi na mtimbira, kibaya zaidi mawakala wa chadema mtimbira ndio walionunuliwa na kumuuza mgombea wa chadema.
yamepita haya na tugange yajayo wana ulanga magharibi.