Inasemekana nguo anazovaa zinanunuliwa sana: wa kwetu je?

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,080
6,030
2-image.jpg



3-image.jpg



4-image.jpg



5-image.jpg



8-image.jpg



10-image.jpg
 

Kagosaki

JF-Expert Member
Feb 11, 2010
208
56
Muache mtoto atese, mbona wazungu walikuwa wanatesa sana na ninani aliekuwa akiwalalamikia?
 

PingPong

JF-Expert Member
Dec 21, 2008
926
159
We umetumwa nini?Wenzio tunajadili mustakabali wa taifa we unaleta masihara!
duh.. :doh: kwani ni lazima uangalie au utoe maoni katika kila thread, kama unaona haijadili unachotaka unaweza kuipotezea tu mkuu. btw sio wote tuliopo humu tunajadili mustakabali wa taifa, wengine tupo humu kuondoa stress (especially those caused by that what u call "mustakabali wa taifa")
 

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,080
6,030
We umetumwa nini?Wenzio tunajadili mustakabali wa taifa we unaleta masihara!

Kwani hii forum ni ya Siasa au Uchaguzi? Kwanza wanashughulikia mustakhabali wa taifa letu kwa sasa ni wale wawakilishi wetu walio ndani ya Bunge na wala sio sisi!!!!!!!!!
 

Mama PC

Member
Nov 2, 2010
44
2
kupendeza kwake na uzuri unachangia. asante kwa hizi picha na wote mnaotuma email za aina hii kwani sometimes zinatusaidia kupunguza stress. People are very Stressed!! Hata wale wanaoonekana kuwa ni leimani na wenyewe wamefumbuka macho na wamechoshwa na mambo yanavyoenda.
 

Tasia I

JF-Expert Member
Apr 21, 2010
1,223
192
ni mrembo lakin sio kwamba ni extremely, ni kwasababu tu ni maarufu. Hapa bongo hii hii kuna watoto wakali mara 100 ya huyu bibie sema sasa nani anawajua au wana maisha gani??
 

afrodenzi

Platinum Member
Nov 1, 2010
18,150
9,097
safi ....
u knw kila mtu anaishi kwa uwezo wake....
kama mtu unauwezo wa kununua kiatu cha $600 vizuri....... na kama cha $10 safi pia....
watu wengine hawa spent hela nyingi na bado wanapendeza tu....
 

Ally Msangi

JF-Expert Member
Jun 29, 2010
609
120
dats why wanasema america utajulikana kwa unachokivaa na si kwa pesa yako tu bali ni unaitumia je hiyo pesa
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom