Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 267,553
- 1,092,278
Mwanamke huyu katika picha amekutwa na mtoto mdogo, katika picha, uchunguzi wa awali unaonyesha mwanamke huyu ana tatizo la akili. Awali alikuwa anasafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza na baada ya kufika Nzega mtoto huyo katika picha aliugua na kulazwa hospital ya wilaya ya Nzega, ndipo ilipobainika kuwa mtoto huyo sio wake na hajulikani alipomtoa. Mtoto huyu anakadiriwa kuwa na umri kati ya mwaka mmoja na nusu hadi miwili. Kwa yeyote anayemfahamu na kumtambua afike kituo cha polisi Nzega
Share ujumbe huu kwenye magroup mengine.
Updates:
Watoto wamepatikana
Share ujumbe huu kwenye magroup mengine.
Updates:
Watoto wamepatikana