Udochi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 761
- 1,006
Kuna jamaa watatu nimewakuta wamechill somewhere,
Kwa maongezi yao wanaonekana kuwa ni wadau wazuri sana wa tasnia ya burudani hapa mjini na ni watu wenye taarifa kuntu sana juu ya tasnia hii.
Sasa katika mazungumzo yao nikasikia tetesi za kuwa ndugu Mnyakyusa anaweza akanyakuliwa kutoka katika lebo ya Mmanyema na kusainiwa lebo ya Mmakonde.
Wadau wenye ubuyu uliokomaa wanaweza wakaja kuongezea nyama hapa.
[Hizi kodi ni simpo sana, hata chekechea anazifungua- hivyo asije mtu akajifanya hajaelewa kitu hapa].
Kwa maongezi yao wanaonekana kuwa ni wadau wazuri sana wa tasnia ya burudani hapa mjini na ni watu wenye taarifa kuntu sana juu ya tasnia hii.
Sasa katika mazungumzo yao nikasikia tetesi za kuwa ndugu Mnyakyusa anaweza akanyakuliwa kutoka katika lebo ya Mmanyema na kusainiwa lebo ya Mmakonde.
Wadau wenye ubuyu uliokomaa wanaweza wakaja kuongezea nyama hapa.
[Hizi kodi ni simpo sana, hata chekechea anazifungua- hivyo asije mtu akajifanya hajaelewa kitu hapa].