jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
Kuna tetesi tokea juzi kiungo nazi ni adimu sana hapo mjini Dar es Salaam ni sababu tajwa ni mechi ya Simba na Kaizer.
Kama ni kweli kwa hakika hiyo hali haikubaliki kamwe!
Serikali itoe tamko na kulaani hali hiyo ili isijirudie.
Haiwezekani Taifa liwe na upungufu wa kiungo nazi kila ikaribiapo mechi yeyote ya Simba.
Vipi huko kwenu,mnyama paka yupo?!
Nawasilisha 😉
Kama ni kweli kwa hakika hiyo hali haikubaliki kamwe!
Serikali itoe tamko na kulaani hali hiyo ili isijirudie.
Haiwezekani Taifa liwe na upungufu wa kiungo nazi kila ikaribiapo mechi yeyote ya Simba.
Vipi huko kwenu,mnyama paka yupo?!
Nawasilisha 😉