THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,373
- 12,822
neno kutongoza unalichukulia je?
kutia huruma,maneno mengi yasiyo na mpango,fix na longo longo
kuombea ombea kwa saaana..
neno kutongoza unalichukulia je?
Kuna mtu humu alisema et kaambiwa kuwa hajui kuvaa, inamaana asipojifunza atapigwa chini, so siraha yake nikujifunza kuvaa ili mlimbwende aendelee kuwa nae.
Mie usipokuja na Gobole hunipati..! Lol
hiyo siyo silaha yake anapretend tu, silaha ni ka mtu ana hela, handsome, ana cheo n.k[/QUOTE
i can see weakness yako iko wapi sasa. Aksante kwa kunijulisha
hahahahahah chardams bana u cant see my weakness, a man doesnt need silaha 2 m if i like sm1 that is it, refer my first comment utanielewa zaid weakness yangu lol
Kunna mtu humu alipost akisema kuwa watu wengi humu wanafanana na comment zao wanazo zitoa na kwa kigezo hicho nimeku judge.
kwani mapenzi ni vita jameni? just b u mie sioni logic ya mwanaume kujipanga na silaha eti anakwenda kumtongoza fulani...*
Inasemekana kwambaa unapokuwa unamtaka mwanamke alafu ukawa huna mbinu za kumvutia ni sawasawa na kwenda vitanibila silaha
Ni nini mtazamo wako?
wanawake wa sasa hawatongozwi...una onyesha tuu kuwa una mshiko...watajigonga gonga wenyewe
Haya uyasemayo inawahusu mijibaba isiyojuwa kutongoza na hawa ndiyo wabaya zaidi kwa kusambaza ngoma na magonjwa mengine ya zinaa. Ni kweli mademu siku hizi hawatongozwi, wewe jifanyie vitu vyako tu bila kuwajali, lazima watatokea wanaokumaindi kuja kukuomba mtwango (ngono).