OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,525
kwanini hawatoshelezwi??????
Umesema hawatoshelezwi vilee??
Hapo unatutia lawamani sisi tunaotakiwa kuwatosheleza son; ungesema hawatosheki ndo ingekuwa wao as wao
Mapenzi na sanaa na sanaa haifanywi na kila mtu; sasa je wanaume wote ni wasanii tosha??