Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeuona utashati wake mpaka usoni!Sana
Kwahiyo hii LENOVO yangu sio simu Mkuu?!!Matatizo ya simu yako au laptop yako picha zote zinaonekana full.simu Ni sumsung,Nokia au apple
Mnataka avue viatu mumchote nyayo zakeLabda huna mazoezi. Na pia si heshima kwa wenye mila zao kukanyaga na viatu sehemu wanayo kula au kulala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nini kimekustajabisha hapo huyo wa nyumaHizi picha muwe mnaangalia na angle ya kuzipiga wajameni
View attachment 1047124
Sent using Jamii Forums mobile app
Amini nawaambia jamani JF. St, kata- zinatuharibia watoto! narudia sijakosea St, kata!??????. jamani St,Kata!!!!!! sina hamu!!!! na ajabu hawajifichagi.