habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
Kunywa flajiri naona una hara tuUPUPU MTU MZIMA OVYOOOOOOOOOOO, KARAI KUU
MBOWE HACHOMOKI HII KESI YA MAUAJI NI YAKE TU
ATAKIONA CHA MTEMA KUNI
Kunywa flajiri naona una hara tuUPUPU MTU MZIMA OVYOOOOOOOOOOO, KARAI KUU
MBOWE HACHOMOKI HII KESI YA MAUAJI NI YAKE TU
ATAKIONA CHA MTEMA KUNI
Hakuna cha Mkakati
Mbowe ndio Mhusika wakwanza
Mbowe lazima Ajibu
John Pombe Magufuli na Polepole and the gang ndiyo culprits number 1.Hakuna cha Mkakati
Mbowe ndio Mhusika wakwanza
Mbowe lazima Ajibu
Nafikiri mkijadili jambo jadilini kwa utashi ns sio kwa kutukana na kuhisi mtu,wewe kama unaona ushahidi peleka ili mtuhumiwa akamatwe sio kuropoka tuu mtandaoni,fanya investigation when you come up with evidence deliver it for the action to be takenUPUPU MTU MZIMA OVYOOOOOOOOOOO, KARAI KUU
MBOWE HACHOMOKI HII KESI YA MAUAJI NI YAKE TU
ATAKIONA CHA MTEMA KUNI
NI KWELI MBELE YA TAMAA ZA MADARAKA ZA CCM KILA KITU KINAWEZEKANA. TAMAA YA MADARAKA YA CCM NI HATARI HATA KWA USALAMA WAKE YENYEWE. BILA YA SHAKA HATA YULE KATIBU WA CHADEMA CCM WATAPANGA PROPAGANDA ALIJIUA MWENYEWE NA ITAKUBALIKA.UPUPU MTU MZIMA OVYOOOOOOOOOOO, KARAI KUU
MBOWE HACHOMOKI HII KESI YA MAUAJI NI YAKE TU
ATAKIONA CHA MTEMA KUNI
You exist while others live.UPUPU MTU MZIMA OVYOOOOOOOOOOO, KARAI KUU
MBOWE HACHOMOKI HII KESI YA MAUAJI NI YAKE TU
ATAKIONA CHA MTEMA KUNI
Chakubanga anakubaka au huwa unampa mwenyewe?Mjinga. Hata mimi nisiye polisi. Lazima ningekamata. Kwani waliondamana Jana na panya Road tofauti yao nini. CHADEMA MNATAKA DAMU TANZANIA. NA WAVUTA BANGI WENGI MMO HUMU. SIKAI TANZANIAN LAKINI NACHUKIA SANA WAJINGA WASIOONA KINACHOENDELEA. MNAKAA MNAMWACHA MBOWE ASABABISHE FUJO. WAPIGWE POLISI NA JE HAYO MAWE UNADHANI NI MAJI. TZ SIO MAREKANI WATU WANAJIAMULIA TU NDO MANA KILA SIKU TUNASHUHUDIA MAUAJI YA KIJINGA. CHADEMA INAHUSIKA 100%. Unapoandamana bila kibali jioni. Watu usalama wao Wa majumbani. NANI asiyejua vibaka ndo Muda wao. Je hao walindwe na nani. Why sasa inakuwa Kama TZ hawafi Watu. Mkome kabisa nyie mnaotaka kutuletea umwagaji damu .tena Pumbavu tena na tena.
Maandamano hayakwepeki awamu hii. wajiandae kuua tena na kubambikia watu kesi.
vip kuhusu ile sababu ya iliyosababisha maandamano?!! Je kweli walicheleweshewa?!! Na kwa nini?!!hakuna anayejaribu kuwabebesha Chadema Lawama....ila mazingira ya tukio yanapelekea hivyo.....kwa taarifa nilizo nazo ni kuwa mpaka sasa wale polisi wameshakamatwa na ni sahihi kwako kukamatwa na wahojiwe kwanini walitumia silaha za moto.......na je huyo binti walimuua kwa bahati mbaya au ilikuwa makusudi.....ila lazima aliyeanzisha maandamano naye ahojiwe....kulikuwa na strong reasons zipi za kufanya hayo maandamano???? sheria ni msumeno
Swali zuri sana,ukijibiwa naomba unitag.Swali kwanini watumie silaha za Moto
vip kuhusu ile sababu ya iliyosababisha maandamano?!! Je kweli walicheleweshewa?!! Na kwa nini?!!
Tabia ya kusema huyu ni mwenzetu kwa hiyo asisemwe hadharani inazidi kuota mizizi ndani ya chadema. Ni jambo la kusikitisha sana kwamba mtu akiwa mwanachadema hata akitenda maovu chama kitamlinda kwa nguvu zote na kumtetea.
Hii tabia ilikomaa kipindi kile mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda akitaja wauza madawa ya kulevya. Walitajwa wa vyama vyote lakini alipotajwa Mbowe chama badala ya kumwajibisha kikaanza kumlinda na kumtetea!!!
Ikaja kwenye mashamba pori , wengi wamenyang'anywa na kurejeshwa serikakini lakini waliponyang'anywa viongozi wa chadema(Sumaye) chama badala ya kumwajibisha sasa kinamtetea eti ameonewa!!
Jana tena Freeman Mbowe ameitisha maandamano yasiyo na kibali tena yanayoanza saa 12 jioni kuelekea ofisi ya mkurugenzi , matokeo yake vurugu zikatokea barabarani na kupelekea mabasi kupigwa mawe na hatimaye mwanafunzi asiye na hatia kupoteza maisha kwa kupigwa risasi.
Ukweli ni kwamba bila Mbowe kuitisha maandamano haya mauaji yasingetokea, lakini pamoja na ukweli wote huu kuwa wazi bado wafuasi wa chadema wanamkingia kifua na kumtetea Mbowe badala ya kumtaka awajibike kutokana na uovu alioufanya!!
Mara nyingi pia tumekuwa tukiona mtu anaitwa mwizi na fisadi akiwa chama kingine lakini fisadi huyo akihamia chadema ghafla anasafishwa na kuanza kulindwa kwa nguvu zote na wanachadema!!
Kama sasa hivi hamjashika dola mnalindana namna hii mkishika uongozi wa nchi itakuwaje??
Si watu wataiba hadharani na kukimbilia kuchukua kadi ya chadema ili watetewe?
Tabia hii haikubaliki na ni mwendawazimu tu wa kushabikia tabia ya kusitiriana maovu namna hii.
MBONA mama yako anauza K kiharamu na hali bado shwari