lovebitelol
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 964
- 965
Hapo hesabu siku za mzunguko wa periods za mke wako then ukijua siku anamaliza au anakaribia period tia timu utamnasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona wewe umewekeza kwenye chura na k yangu?Ushauri wangu ni kwamba kwa dunia ya sasa hivi usiwekeze muda wako au hela yako au maarifa yako au chochote chako kwenye mapenzi
Aisee Corona iishe maana hadi mwili unachemkaUshauri wangu ni kwamba kwa dunia ya sasa hivi usiwekeze muda wako au hela yako au maarifa yako au chochote chako kwenye mapenzi
Kwa umalaya wako umchome mtoto Mdomo?Huyo mtoto ni wakuchomwa mdomo.
Sent From Galaxy S9
Tafuta dereva wawil watatu kila mmoja kwa wakati wake wape mshiko watakutonya tuNdo non mkuu???
Wee nawee kilangaaaaa hivi Huwaga hamuoni Comment na post za watu humu???? Yani unalalamika single mazaa kuliwaaaa...!!! Acha ujingaaaNdio mkuu
Ulienda kwa mkeo, mnaishi mikoa tofauti?!
Kama uko tayari kumuacha anza kumfuatilia, ila ungeongea naye kabla ya kuanza kumfuatilia! Mshtuko wake tuu utakupa jibu sahihi!!
Ila kama kweli kaingiza mwanaume ndani, kakosea mnoo!
Ila hawa watoto na baba zao.
Mhhhhh mje mwenyewe nina semelewa makosa yangu.
Sijatoka atasema nimetoka.
Unabaki unashangaa
Mpaka unakuja kuomba ushauri JF itakuwa mnakoishi magunia ya mkaa ni bei kubwa,,
Angalia jamaa asije Tena ukiwepo humo humo ndaniMkuu huon kuwa nikimhoji ntahatarisha maisha ya mtoto?? Naona Kama mtoto anaweza akamgeukia,ni kweli tunaish mikoa tofaut
Hawana siri jamanii
Acha kabisa.
Ninaweza kuelewa kwa nini zamani dada yangu alikuwa anamuogopa mtoto wake wa miaka 5.
Yaani alikuwa anamuogopa mno na kumtunga jina "CNN"